Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Mrembo huyo dah wachina wametuletea hii dawa sasa wengine ndo inakuwa too much wengine inawapenda na kuwavutia wengine ndo hivyo anajaa kalio moja na jingine linakuwa la kawaida.
Yote hii wanawake wanafanya ili kumpa raha mwanaume.
Hapa hata kama unapenda vimobitel lazima ugeuke mpwa Yo Yo lazima utibue swaumu ukikiona kifaa hiki comredi Nyani Ngabu sijui kama unapenda mambo haya lakini najua wewe hupendi maswala ya kujiexpress hapa mpwa Masanilo najua nitakuwa nimegonga Ikulu kabisa lakini bado sijajua mahaga iwa unapenda au lah? Mzee George_Porjie naona ndo fani zako hizi lazima usalute na mate ya kutoke p'se niPM nitakupa contact zake na mkuu Sipo najua fika hapa mate yatakutoka.
Vitu kama hivi hata wanawake nao iwa wanaoneana wivu kwa nini shosti kafungasha aka mfadhaiko lakini ndo hivyo tena wengine ni original wengine ni man made.
Enjoy it.