mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
ahaaaaaaaaaaaaaaaKichwa cha juu jamani
ahaaaaaaaaaaaaaaaKichwa cha juu jamani
Kichwa kipi chauma? fafanua.
OTIS.
mmm Dushelele..kichwa chenye ubongo.
tehetehe dushele una mambo nilikuwa sijafikiria kuwa kuna swali lingine litakuja. jaani unamaanisha kichwa hiki au kile kinachomfanya ahangaike kutafuta raha ya maumivu kha!:hug::redfaces:Kichwa kipi chauma? fafanua.
OTIS.
Itakua unaingiliana na jini kisigino! Ni jini mbaya sana ingawa mtamu!!!!!!!!
mmmh!! FB PAMEKUTOA KIJANA LEO HII UNAPAKASHIFU NA KUPAITA KWA WATOTO!! ILA KILA MWANADAMU ANA HAKI YA KUZUNGUMZA NA KUTOA MAONI YAKE UHURU WA KUZUNGUMZA NI KWA KILA MTU!Jamani hapa panaitwa JF home of the great thinkers...sasa usije hapa kukejeli wenzio mtu anakuja hapa anatoa shida zake kama hujui kaaa kimya, kama unaweza kumshauri msaidie sio kumkashifu na kumsemea vibya..huo ni utoto ukiona hujui kaa kimya ama laa nenda kule kwa watoto fb
wapo wengi yawezekana hata ww ukawa jini kisigino!duh! Utamu wake uliujuaje?