Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,059
- 4,055
HII NDIO RAHA NA UTAMU WA KUANGALIA LONG TENNIS YA WADADA.
Bora hata ungemweka mdogo mtu!
ni naona kama tunamwangalia lady JD tu hapa... wote ni kama madume tu
...Mh!Bora hata ungemweka mdogo mtu!
ni naona kama tunamwangalia lady JD tu hapa... wote ni kama madume tu
Duh nilidhani peke yangu huyu mwanamama jaydee namuona Kama dume kumbe nna wenzangu!
DN. sikutaka kucoment kwenye thread hii lakini post yako imenilazimisha. Kwakweli siyo utu kabisa kuanza kumtaja mtu katika level ya kumshushia hadhi yake. Huyu lady JD ni mke wa mtu, mwenye mke ameridhika naye. Wewe ukisema ni kama dume unajenga picha gani? Ni vizuri tukaheshimu dignity za watu. Huyo JD anaweza kuwa ni member wa forum hii, hivi akisoma maneno yako anajisikiaje? Kwakweli kama nimekosea niwieni radhi lakini hili sijalipenda.
i apologize and i have deleted my post.... nadhani ni hasira za kukosa red label mji mzima wa Dar bila kuambiwa sababu nikaishia kunywa ballantine...
APOLOGY TO JD, VENUS, WEWE NA WANAJAMII
DE NOVO