Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

Mambo kuzidiana. FAT ilikuwa cha mtoto na hata impact yake kwa ustawi wa nchi na watu wake si kama haya anayoyapigia kelele.
 
Mwenyekiti wa Club ya Simba na Mbunge wa Tabora Mjini anasema Nchi hii tunaitafuna wenyewe siku tukiimaliza tutafunana wenyewe. Anashangazwa na utajiri wa Wafanyakazi wa Serikali kumilki Geust House Ishirini [20] ukimuuliza chanzo cha mapato ya ujenzi wa miradi hiyo nini hana cha kukupa?

Mfanyakazi wa Serikali anamiki mali kupita Mfanyabiashara.Rage anasema kama Misri na Libya raia wa Nchi hizo wametaifisha Mali za Marais hao,je sisi mbona hatutaifishi mali za watu wanaotuibia mali zetu kama mchezo wa kuuzwa kwa UDA.

Jamani Rage kafunguka kama sio Rage yule wa zama zile za Ndolanga!!!!!Kumbe kifaa.

Nawsilisha.

...na watatafunana kweli.
 
Mwenyekiti wa Club ya Simba na Mbunge wa Tabora Mjini anasema Nchi hii tunaitafuna wenyewe siku tukiimaliza tutafunana wenyewe. Anashangazwa na utajiri wa Wafanyakazi wa Serikali kumilki Geust House Ishirini [20] ukimuuliza chanzo cha mapato ya ujenzi wa miradi hiyo nini hana cha kukupa?

Mfanyakazi wa Serikali anamiki mali kupita Mfanyabiashara.Rage anasema kama Misri na Libya raia wa Nchi hizo wametaifisha Mali za Marais hao,je sisi mbona hatutaifishi mali za watu wanaotuibia mali zetu kama mchezo wa kuuzwa kwa UDA.

Jamani Rage kafunguka kama sio Rage yule wa zama zile za Ndolanga!!!!!Kumbe kifaa.

Nawsilisha.


Wana JF,

Kwa hiii Issue kama CCM inataka kujisafisha basi huu ndio wakati wake mambo yamekuwa mambo JK hadi mwanao sasa ndio yale ya kina Gaddafi na wanae na Mubarak na wanae ndio huko twaenda msije sema wananchi wanamatatizo kwanini wameingia mtaaani kwa maandamano, Tatizo ndio hili kupeana vitu kinyemela nchi hii amakweli ndio maana mwapigania kila njia kutumia dola kujiimarisha msiguswe sasa wakati umefika Ridhwani nilikuambi watu wanakusomea ramani sasa wameanza kukushika taratiibu mpaka utamalizika ukijitizama.
 
Mambo kuzidiana. FAT ilikuwa cha mtoto na hata impact yake kwa ustawi wa nchi na watu wake si kama haya anayoyapigia kelele.

Huyu mdau kama ni kuhukumiwa jamani alishatumikia kwa hivyo kama ni kujibu alishatimiza majibu.Deni lake sasa ni kuwa mkweli kwa kuwa dhambi ya uongo na wizi anaijua vilivyo.
 
Back
Top Bottom