Transfer za Nonda kwenda timu zingine hizo hapo chini, mbona hatuoni transfer yoyote ya kutoka Yanga hamkuruhusu au alitoroka au mkataba uliisha, kwa nini yanga haijatajwa?Mambele gani unapozungumzia Mtani,hapo Lubumbashi? au kule Henry Joseph anapofanyia kibarua chake cha kutunza vifaa vya mazoezi(Kit Officer) kweye ile team ya daraja la 2 baada ya mpira wake kumalizika kabisaa,hlf Mtani unajifanya kujisahaulisha eti "wanitajie proffesional..............." Mtani inamaana unajifanya umemsahau kabisa Nonda Shaaban "Papii"? na juzi tu Ernest Boakye kaombewa ITC TFF na team 1 ya maana sana huko mbele....angalia Kijana unavyoanzisha mada uwe umejipanga
View attachment Nonda.doc