Timor
Member
- Feb 4, 2009
- 48
- 32
Namtafuta best friend wangu JESCA NAIMAN MOIRO kutoka Baraa,Mashono ,Moivaro Arusha, Tulisoma naye Tabora Girls School ikiitwa WARSAW enzi hizo miaka ya 1982-1986.
Alibahatika kuendelea na masomo SUA FIRST NA SECOND DEGREE,Hapo ndipo tulipotezana kabisa. Mwenye kujua habari zake popote alipo pls anijuze hapa JF. Mie niko Ughaibuni kwa sasa hivi
Alibahatika kuendelea na masomo SUA FIRST NA SECOND DEGREE,Hapo ndipo tulipotezana kabisa. Mwenye kujua habari zake popote alipo pls anijuze hapa JF. Mie niko Ughaibuni kwa sasa hivi