Babu ni kweli kadondokewa na ukuta wkt akitita
Vyoo vya uswazi mwenyewe unajua lazima tank la kinyesi chini pa kunyea umechuchumaa panakuwa juu na unaposhusha mzigo unausikia kabisa chini ngiiiii
Amekutumia pm anakutaka bila shaka nimesoma sehemu anakulilia kimahuba.
sio lazima tank likae chini ya choo
huo ujenzi wa kizamani
unaweza weka tank hatua chache pembeni
na choo kikawa safi tu....na gharama ni hiyo hiyo...
Nashukuru rafiki yangu
sio lazima tank likae chini ya choo
huo ujenzi wa kizamani
unaweza weka tank hatua chache pembeni
na choo kikawa safi tu....na gharama ni hiyo hiyo...
Kweli,
Nimekamilisha kujenga kimoja cha namna hiyo kwa ile nyumba yangu ya 7,
It is great.....clean and risk free!!
Rafiki yangu akiwa ktk starehe ya dunia waswahili wanasema kukata gogo hamadi ukuta wa choo passport size ukashuka na kumkandamiza rafiki yangu huko mbagala ukuta ulivyo shuka na choo kikashuka nacho ni athari za mafuriko ya jiji. Nasema kwamba alikuwa anakata gogo au kimba kwa sababu wkt wasamalia wema wanamwopoa suruali wameikuta magotini na amefariki tunafanya taratibu za kuzika leo.
Pole sana Mkuu, nimeisikia kupitia Wapo Radio. Lakini kama kweli alikuwa ni rafiki yako, mbona huonyeshi masikitiko katika hii taarifa yako, ni kama umefurahi vile au kaacha mjane?
hongera
nyumba saba sio mchezo
Mi nimetuma mwakilishi nipo usalule huku nasaka mchumba hutaki mkamwana babu?
Mkuu ndio Uafrika huo,
Mie na Zuma tunakuwa sahani moja!!
Mwaka ujao nafunga kitabu...Ya 11 itakamilishwa kabla ya pasaka....Ungependa kuwa best man??
Mjane nitamtunzia tu usiwe na hofu kama mandela anamtunzia samora machell nitashindwaje mm?
ikibidi nije niwepo
sio best man
labda a protege....lol
Mkuu mbona unaiweka ki-kuchat wakati ni issue nyeti?