Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Rafiki yangu akiwa ktk starehe ya dunia waswahili wanasema kukata gogo hamadi ukuta wa choo passport size ukashuka na kumkandamiza rafiki yangu huko mbagala ukuta ulivyo shuka na choo kikashuka nacho ni athari za mafuriko ya jiji. Nasema kwamba alikuwa anakata gogo au kimba kwa sababu wkt wasamalia wema wanamwopoa suruali wameikuta magotini na amefariki tunafanya taratibu za kuzika leo.