ldd
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 790
- 128
nina huzuni sana kwa kuwa tulikuwa wote siku chache zilizopita lakini akaugua ghafla na akashindwa kabisa kumeza dawa na chakula,hospital wamesema ni ukimwi,nilie au nifanye nini mimi maskini,,,uuuuuuuuuuuuuuuuwi tutapona kweli????
kule kilimanjaro wanasemaga, chamecha mae, kocha saa!