nina huzuni sana kwa kuwa tulikuwa wote siku chache zilizopita lakini akaugua ghafla na akashindwa kabisa kumeza dawa na chakula,hospital wamesema ni ukimwi,nilie au nifanye nini mimi maskini,,,uuuuuuuuuuuuuuuuwi tutapona kweli????
pole sana. Kwa nini tusipone baada ya rafiki yako kufa?
Kwani kupima ndio kupona? Hapa dawa ni kuacha kugonga kavu na ovyo ovyo, kuwa mwaminifu na hata huyo ulienae TUMIA CONDOM wala usimwamini ng'o km vp subiri ndoa.sasa sisi tusiopenda kupima itakuwaje,yaani mambo ni ovyo ovyo sijui tufanyeje sasa
nina huzuni sana kwa kuwa tulikuwa wote siku chache zilizopita lakini akaugua ghafla na akashindwa kabisa kumeza dawa na chakula,hospital wamesema ni ukimwi,nilie au nifanye nini mimi maskini,,,uuuuuuuuuuuuuuuuwi tutapona kweli????
sasa sisi tusiopenda kupima itakuwaje,yaani mambo ni ovyo ovyo sijui tufanyeje sasa
Mi Kama vile sijakuelewa!! Huzuni kwa kuwa umefiwa na rafiki yako au kwa kuwa umesikia kafa kwa ukimwi au kwa kuwa hujui Kama mliobakia mtapona? Mi sijaona mantiki Ni ipi hasa hasa ukizingatia kwa sasa ukimwi umeshabisha hodi kwa kila familia ya mtanzania.
nina huzuni sana kwa kuwa tulikuwa wote siku chache zilizopita lakini akaugua ghafla na akashindwa kabisa kumeza dawa na chakula,hospital wamesema ni ukimwi,nilie au nifanye nini mimi maskini,,,uuuuuuuuuuuuuuuuwi tutapona kweli????
pole sana. Kwa nini tusipone baada ya rafiki yako kufa?
nina huzuni sana kwa kuwa tulikuwa wote siku chache zilizopita lakini akaugua ghafla na akashindwa kabisa kumeza dawa na chakula,hospital wamesema ni ukimwi,nilie au nifanye nini mimi maskini,,,uuuuuuuuuuuuuuuuwi tutapona kweli????
Mie nimeona kama anaomboleza msiba ambao ni tofauti na ule aliotaka kutujulisha.......!!
Hii imenikumbusha mbali sana...."si wote wanaolia kwenye misiba ya kisasa anamlilia marehemu"!!