Rafiki yangu akanwa mbele ya "Mpenzi" wa mkewe

Ngaliba Dume

JF-Expert Member
Oct 6, 2010
1,710
3,669
Nina rafiki yangu wa karibu sana...yeye ana mwanamke aliyemuoa mkewe kwa mda wa mwaka mmoja hivi,lakini wakati akiwa nae,huyo dada alikuwa na mpenzi mwingine.Katika kuishi na mkewe kiukweli jamaa yangu alikuwa mbabe,mara kadhaa amempiga shemeji yangu,amemnyanyasa na kumtesa..lakini wakaoana!huyu mpenzi wa nje hakuwa anajua kuwa "demu" wake ameolewa,na kwa vile alikuwa anampenda mwanamke,anamtreat vizuri na kumpetipeti..yule dada akazama kabisa kwa mpenz wa nje,huku wakiendelea kuweka mpango ya ndoa na kuish pamoja Imetokea jamaa akagundua kuwa mkewe ana mtu nje,akamtafuta wake "mwizi" akampata,jamaa akakili kuwa hakujua na alikuwa na malengo sana na mpenzi wake,na mwanamke alipoulizwa akampa makavu mumewe kuwa hampendi,bali anampenda "mpenzi" na yupo tayali kwa lolote,ndoa imekuwa na taharuki,mwanamke asikii wala haelewi,anajuta kuwa na mumewe,mana hajui kwanin alimpenda,mana anahs anamnyanyasa na hampendi..amezama kwa mpenzi mwingine!Je hapo jamaa yangu muoaji afanye nini?
 
ampe talaka kila mtu atafute ustaarabu wake.....halafu mfundishe kutreat wanawake vyema....waambie wanawake hawapigwi ngumi wanapigwa na rav 4 na mijengo ya maanan
 
Nina rafiki yangu wa karibu sana...yeye ana mwanamke aliyemuoa mkewe kwa mda wa mwaka mmoja hivi,lakini wakati akiwa nae,huyo dada alikuwa na mpenzi mwingine.Katika kuishi na mkewe kiukweli jamaa yangu alikuwa mbabe,mara kadhaa amempiga shemeji yangu,amemnyanyasa na kumtesa..lakini wakaoana!huyu mpenzi wa nje hakuwa anajua kuwa "demu" wake ameolewa,na kwa vile alikuwa anampenda mwanamke,anamtreat vizuri na kumpetipeti..yule dada akazama kabisa kwa mpenz wa nje,huku wakiendelea kuweka mpango ya ndoa na kuish pamoja Imetokea jamaa akagundua kuwa mkewe ana mtu nje,akamtafuta wake "mwizi" akampata,jamaa akakili kuwa hakujua na alikuwa na malengo sana na mpenzi wake,na mwanamke alipoulizwa akampa makavu mumewe kuwa hampendi,bali anampenda "mpenzi" na yupo tayali kwa lolote,ndoa imekuwa na taharuki,mwanamke asikii wala haelewi,anajuta kuwa na mumewe,mana hajui kwanin alimpenda,mana anahs anamnyanyasa na hampendi..amezama kwa mpenzi mwingine!Je hapo jamaa yangu muoaji afanye nini?

nilipofika hapo tu nilipohighlite nikapoteza muelekeo.......sijui nielekee wapi sasa......
 
Huna kuna wanaume wanapiga wanawake,mwanaume wa hivyo ni dhaifu na ana stress za ugumu wa maisha mwanamke hapigwi atii
 
Mwanamke alikuwa mistreated hivyo upendo wake kwa mumewe ukaondoka na kuhamia kwa nyumba ndogo. Mbaya zaidi mwanamke amekiri wazi kuwa hampendi huyo mumewe, hivyo kuendelea kumng'ang'ania hakuna tija maana mapenzi hayalazimishwi.
Ni vyema akampa talaka ili kila mtu ajitafutie ampendaye!
 
Kila mtu ana makosa katika hili.

Mwanamke,wakati anaolewa alikiri kuwa ataishi na mumewe katika shida na raha na katika shida ndio kuna kupigwa na manyanyaso mengine ambayo wanawake wengi wa siku hizi hawawezi kuvumilia tofauti na wanawake wa zamani ambao walikuwa wanaweza kuvumilia na ndio maana ndoa za baba zetu zilidumu kwa miaka mingi,mwanamke alitakiwa ajue kuwa katika ndoa kuna matatizo na yeye alitakiwa ajue namna ya kuweka mambo sawa na taratibu za kutatua matatizo zipo ila wanawake wengi siku hizi hawapendi kuzitumia,mbaya zaidi akaanzisha uhusiano pembeni jambo ambalo linamfanya awe na makosa makubwa kuliko hata mumewe.

Mwanaume,unapooa ujue kuwa mwanamke si punching bag la kufanyia mazoezi hivyo si vema kumpiga mwanamke,hii huonesha udhaifu mkubwa kwa kila mwanaume ambaye anampiga mkewe,kuna njia nyingi za kumuadhibu mkeo si kumpiga hata kama kafanya kosa,pia kuoa si mwisho wa kumtumikia mkeo kwa kumpa mapenzi yaliyo bora ambayo yatamfanya asiwe na wazo la kwenda pembeni,ndoa mwaka mmoja tu imekwisha,hiki ni kituko na ni udhaifu mkubwa kwako mwanaume,kaa fikiri,rudi nyuma angalia ulijikwaa wapi rekebisha ndoa yako maana utaachwa wakati unapenda jambo ambalo litavuruga kila kitu kwako,onana na wazee haraka upate suluhisho maana mwanaume mwenzako ana silaha kali ya upendo ambayo wewe huna.

Ndoa na iheshimiwe.
 
Kila mtu ana makosa katika hili.

Mwanamke,wakati anaolewa alikiri kuwa ataishi na mumewe katika shida na raha na katika shida ndio kuna kupigwa na manyanyaso mengine ambayo wanawake wengi wa siku hizi hawawezi kuvumilia tofauti na wanawake wa zamani ambao walikuwa wanaweza kuvumilia na ndio maana ndoa za baba zetu zilidumu kwa miaka mingi,mwanamke alitakiwa ajue kuwa katika ndoa kuna matatizo na yeye alitakiwa ajue namna ya kuweka mambo sawa na taratibu za kutatua matatizo zipo ila wanawake wengi siku hizi hawapendi kuzitumia,mbaya zaidi akaanzisha uhusiano pembeni jambo ambalo linamfanya awe na makosa makubwa kuliko hata mumewe.

Mwanaume,unapooa ujue kuwa mwanamke si punching bag la kufanyia mazoezi hivyo si vema kumpiga mwanamke,hii huonesha udhaifu mkubwa kwa kila mwanaume ambaye anampiga mkewe,kuna njia nyingi za kumuadhibu mkeo si kumpiga hata kama kafanya kosa,pia kuoa si mwisho wa kumtumikia mkeo kwa kumpa mapenzi yaliyo bora ambayo yatamfanya asiwe na wazo la kwenda pembeni,ndoa mwaka mmoja tu imekwisha,hiki ni kituko na ni udhaifu mkubwa kwako mwanaume,kaa fikiri,rudi nyuma angalia ulijikwaa wapi rekebisha ndoa yako maana utaachwa wakati unapenda jambo ambalo litavuruga kila kitu kwako,onana na wazee haraka upate suluhisho maana mwanaume mwenzako ana silaha kali ya upendo ambayo wewe huna.

Ndoa na iheshimiwe.
mkuu sio wote hukiri hivyo atujuze ni ndoa ya wake wanne au wawili hapo tutaweza kusema apewe talaka au la
 
mkuu sio wote hukiri hivyo atujuze ni ndoa ya wake wanne au wawili hapo tutaweza kusema apewe talaka au la
Haijalishi ni ndoa ya watu wangapi, ndoa ni ndoa tu na kiapo ni kile kile tu hakibadiliki eti kwa sababu huyu ni mke wa kumi na moja au ishirini.
 
Haijalishi ni ndoa ya watu wangapi, ndoa ni ndoa tu na kiapo ni kile kile tu hakibadiliki eti kwa sababu huyu ni mke wa kumi na moja au ishirini.
unalichukuliaje lile la wenzetu mke anafichwa ndani ndoa inafungwa nje anaambiwa tayari ondoka na mumeo hajui kilichoendelea?all in all sio wote hukiri kuishi kwa shida na raha ndugu
 
unalichukuliaje lile la wenzetu mke anafichwa ndani ndoa inafungwa nje anaambiwa tayari ondoka na mumeo hajui kilichoendelea?all in all sio wote hukiri kuishi kwa shida na raha ndugu
Mpaka mwanamke anakubali kuondoka na mumewe ujue tayari kakubaliana na masharti yote ya ndoa na hata akifika huko inabidi ayatekeleze tu na mojawapo ni kutoa huduma zote za chakula cha usiku kwa mumewe,mke akikubali kutoa chakula cha usiku siku aliyoolewa basi masharti yanayofuata kakubaliana nayo bila kinyongo.
 
Ili asiumize kichwa chake, amuache huyo mkewe, ni rahisi sana, kwani maisha hayataenda?
 
unalichukuliaje lile la
wenzetu mke anafichwa ndani ndoa inafungwa nje anaambiwa tayari ondoka
na mumeo hajui kilichoendelea?all in all sio wote hukiri kuishi kwa
shida na raha ndugu

Huko huko ndani mwanamke huwa anafatwa na kuulizwa kama ameridhia na akikataa ndoa haifungwi. Usizungumze usichokijua.
 
Nina rafiki yangu wa karibu sana...yeye ana mwanamke aliyemuoa mkewe kwa mda wa mwaka mmoja hivi,lakini wakati akiwa nae,huyo dada alikuwa na mpenzi mwingine.Katika kuishi na mkewe kiukweli jamaa yangu alikuwa mbabe,mara kadhaa amempiga shemeji yangu,amemnyanyasa na kumtesa..lakini wakaoana!huyu mpenzi wa nje hakuwa anajua kuwa "demu" wake ameolewa,na kwa vile alikuwa anampenda mwanamke,anamtreat vizuri na kumpetipeti..yule dada akazama kabisa kwa mpenz wa nje,huku wakiendelea kuweka mpango ya ndoa na kuish pamoja Imetokea jamaa akagundua kuwa mkewe ana mtu nje,akamtafuta wake "mwizi" akampata,jamaa akakili kuwa hakujua na alikuwa na malengo sana na mpenzi wake,na mwanamke alipoulizwa akampa makavu mumewe kuwa hampendi,bali anampenda "mpenzi" na yupo tayali kwa lolote,ndoa imekuwa na taharuki,mwanamke asikii wala haelewi,anajuta kuwa na mumewe,mana hajui kwanin alimpenda,mana anahs anamnyanyasa na hampendi..amezama kwa mpenzi mwingine!Je hapo jamaa yangu muoaji afanye nini?


Ndoa hatakuwa na amani kamwe, ni bora akamruhusu huyo mwanamke aende kwa huyo mwanamme anayempenda.
 
Back
Top Bottom