Feyanga
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 223
- 89
Kweli kabisa,Lazma alishapiga mahesabu yake, na jinsi unavyobehave kwake akajua lazma utakubal tu, vinginevyo asingethubutu hata kukutongoza tena alipie na chumba kabisa mhhhh miamekudharau sana sana.Wala usimwambie mumeo, jipange mwenyewe ulimalize.ushamuonyesha vitu fulani bwana..ushaona wapi nzi anatua kusafi