basi tutaendana....mi napenda kiroro mbaya kabisa....na raha yangu niwe tilalila
Utakuwa unaninunulia mizinga ya konyagi?
poa ila unachekacheka nini sasa?mimi ni kajana /male\ mwingi wa mawazo chanya na mchapa kazi..sina mke wala mtoto..natafuta rafiki wa kike...sifa zangu ni hzi..
-- napenda alcohol
-- kwenda beach ( my fav ni nungwi zanzibar--rafiki uwe tayari kusafiri kwa siku za weekend )
-- napenda sana kucheka
-- kwenda movie
------------------------------ni hayo tu
basi tuanzie zenji kesho au?:a s 109:bebii...ha ha ucjali cku tukikaa meza moja utagundua kwa nn napenda kucheka...swali lako litajibiwa
ivi mlienda kuonana kwelipoa ila unachekacheka nini sasa?
Mkuu mbona ulifuta post
hahahah fake accounts zina mbwe mbwemimi nafurahi watu wanapotaka kupost an Embarrsing thing they create a single day ID.
Nipo tayari kwa hilo dadito as my signature say it all