GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
- Thread starter
- #61
huyu aneyejiita genious brain ni kiazi kweli kweli! kwanza what kind a name!
Genius Brain ndio genius wa Great Thinkers wote humu JF
huyu aneyejiita genious brain ni kiazi kweli kweli! kwanza what kind a name!
Mi nadhani kuna wapuuzi wamesambazwa na JK kwa ajili tu ya kupoteza muda wa watu kwa makusudi..ili waache kujadili vitu vya maana na kujadili upuuzi ili mafisadi waendelee kupeta. Huyu mtoa mada hii GeniusBum a.ka. "Tino" ni mmoja wapo.
Hatimaye uchaguzi wa Uganda umekwisha na Mh. Rais Museveni kutangazwa mshindi kwa 68%, na kumuacha mbali mshindani wake Ndg. Besigye kwa kupata 26%. Ndg. Besigye ni rafiki mkubwa wa CHADEMA na Dkt. Slaa , ambae pia kwa uchaguzi mkuu wa Tanzania uliopita alishindwa vibaya na Dkt. Kikwete.
Hili ni pigo kubwa kwa CHADEMA kwani inawakumbushia machungu ya wao kushindwa kwenye uchaguzi uliopita na hivyo basi vilio na majonzi vimewakumba tena wafuasi na wanachama wa CDM.
Mi mbona sina kilio wala majonzi yeyote sasa!! ***** nini..!!Hatimaye uchaguzi wa Uganda umekwisha na Mh. Rais Museveni kutangazwa mshindi kwa 68%, na kumuacha mbali mshindani wake Ndg. Besigye kwa kupata 26%. Ndg. Besigye ni rafiki mkubwa wa CHADEMA na Dkt. Slaa , ambae pia kwa uchaguzi mkuu wa Tanzania uliopita alishindwa vibaya na Dkt. Kikwete.
Hili ni pigo kubwa kwa CHADEMA kwani inawakumbushia machungu ya wao kushindwa kwenye uchaguzi uliopita na hivyo basi vilio na majonzi vimewakumba tena wafuasi na wanachama wa CDM.
View attachment 23558
Vipi kuhusu huyu rafiki mkubwa wa CCM,haina haja ya Spika Mama Makinda kujadili people's power in Tripoli?
Je wajua kuwa rafiki wa CHADEMA NDIYE anaongoza serikali ya usa,na Kingdom.Je hapo wasemaje
kichwa maji wewe huwezi kufikiri hata kidogoHatimaye uchaguzi wa Uganda umekwisha na Mh. Rais Museveni kutangazwa mshindi kwa 68%, na kumuacha mbali mshindani wake Ndg. Besigye kwa kupata 26%. Ndg. Besigye ni rafiki mkubwa wa CHADEMA na Dkt. Slaa , ambae pia kwa uchaguzi mkuu wa Tanzania uliopita alishindwa vibaya na Dkt. Kikwete.
Hili ni pigo kubwa kwa CHADEMA kwani inawakumbushia machungu ya wao kushindwa kwenye uchaguzi uliopita na hivyo basi vilio na majonzi vimewakumba tena wafuasi na wanachama wa CDM.
Hivi shida hapa ni nini? Kushindwa kwa Besigye au ni urafiki wake na Slaa? Kama ni kushindwa kwa Besigye au upinzani huko Uganda kama unavyotaka kusema; mbona huzungumzii KANU ilipopigwa mweleka huko Kenya. Nani asiyejua jinsi ambavyo wakati huo Capt komba alivyokwenda na timu yake huko Kenya lakini wakapigwa chini. Kingine kinachoonekana katika ushindi wa Mseveni ni hasa kushindwa kwake kama ambavyo JK aliporomoka. Ushindi wa 68% kwa raisi aliyeko madarakani akiwa na nguvu zote za dola si wa kujivunia. Na hivyo ndivyo alivyoporomoka JK hadi 61%.
Sera zile zile za CHADEMA ambazo watanzania walizikataa mkaenda kumpa Besigye azipeleke uganda, hatimaye waganda nao wamezikataa. Hii yaonyesha kabisa sera za CDM zilikuwa si za kutekelezeka, ni za kibubusa zaidi
View attachment 23647Na mie ndio Genius wa Great Thinkers wote waliomo humu JF