M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Wadau nina rafiki yangu mkubwa sana ambaye nimejua kuwa kwa sasa anatoka na aliyekuwa girlfriend wangu ingawaje wenyewe wanafanya siri sana.,hii imekaaje?.,inamaanisha kuwa hata enzi zile mapenzi yalipokuwa motomoto jamaa alikuwa akimtamani kama vile fisi anavyosubiri kwa hamu simba amalize kula nyama ili aibuke na mifupa?