Habari wakuu,naomba mwenye taarifa kuhusu mafunzo yao ya septemba anijuze manake naona kimya sana na muda unakatika na watu tushatoa ada ya mafunzo.
Nawasilisha.
kwenye blog yao wamesema watatoa majina dar trh 28 saa 10 jioni ila ndo kimya ,mikoani watatutumia sms pia bado wako kimya, jaribu kuwapigia simu watakueleza. Ila tembelea blog yao mara kwa mara .
kwenye blog yao wamesema watatoa majina dar trh 28 saa 10 jioni ila ndo kimya ,mikoani watatutumia sms pia bado wako kimya, jaribu kuwapigia simu watakueleza. Ila tembelea blog yao mara kwa mara .
kwenye blog yao wamesema watatoa majina dar trh 28 saa 10 jioni ila ndo kimya ,mikoani watatutumia sms pia bado wako kimya, jaribu kuwapigia simu watakueleza. Ila tembelea blog yao mara kwa mara .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.