Rafiki anapokumegea mama yako....

Inauma sana. Kijana alifanya vibaya kuingia katika mapenzi na mama ya rafiki yake. Kinachomwumiza hasa kwa kweli ni kwamba aliyefanya kitendo hicho ni Rafiki yake kipenzi. Bila huo urafiki lisingekuwa jambo la kuumiza sana.

Ila kwa hali ya sasa kijana mwenye mama anapaswa kupokea hali halisi japo ni ngumu. Anahitaji kupata ushauri nasaha kutoka kwa ndugu, jamaa, marafiki na hata viongozi wa kiroho ili aweze kupokea hiyo hali na kutulia kwani kwa sasa lazima ameathirika kisaikolojia. Ujue mbaya zaidi alimkuta jamaa akiwa "juu" ya mama. Hii picha haitamtoka yule bwana mdogo katika maisha yake yote. Lazima imemuathiri sana kukuta mama yake akiwa uchi wa mnyama akifanya mchezo huo na rafikiye. Inatisha sana.

Pili, nafikiri kama inawezekana kijana mwenye mama ahamie shule ya mbali ili asiwe anakutana mara kwa mara na "baba mdogo". Hii itamsaidia kuondoa hasira polepole. Vinginevo kama wataendelea kuonana mara kwa mara kwenye mizunguko yaweza kuwa ngumu kwa mwenye mama kusahau. Atakuwa akijeruhika kila akimwona jamaa anadunda kwa furaha, tena mtu aliyetembea na mama mtu kama hana adabu anaweza akawa hata anamtambia jamaa waziwazi ili atambue kwamba yeye ni "baba mdogo".

Ila kwa ujumla tukio hili ni baya sana. Jamani tuwaheshimu mama za rafiki zetu; dada zao, wake zao, nk. Tushinde vishawishi bana. Mbona wanawake wako tele kila mahali?
 
Hapo hakuna jinsi zaidi ya kuwashauri kwenda kufunga ndoa kule kunako husika. Waachane na mambo ya kumegana megana, bila taratibu tulizo jiwekea...!
 
sio rahic kuhivyo, hayajakufika tu.
Sioni kosa hapa kama kila mmoja anapata anachokihitaji kuna ubaya gani..
huyo kijana ambae hataki mama yake aburudishwe na rafiki yake anatakiwa awe mpole au alitaka yeye amburudishe au amchangulie mtu wa kumliwaza mama yake...huko darasani siyo kujua kutoa na kujumlisha ni pamoja na mambo kama hayo...
 
Hii imetokea wiki kadhaa zilizopita.

Kijana mmoja jirani yangu ana rafiki yake. Walikuwa wanasoma pamoja. Ni marafiki wakubwa ambao hata wazazi wanajua. Walikuwa wanasoma pamoja na kushirikiana mambo mengi.

Kijana kaenda shule hakumkuta rafiki yake. Kuuliza akaambiwa anaumwa. Kwa mapenzi aliyo nayo kwa rafiki yake akaamua arudi nyumbani abadili nguo ili akamtembelee rafiki yake mgonjwa. Hapo ndipo alipokutana na zahama. Rafiki yake yuko juu anammega mama yake mzazi, tena sebuleni kwenye kochi! Kijana hakuamini macho yake, kwamba rafiki yake mpenzi anammegea mama yake mzazi!!

Akatoka mbio mpaka kwa uncle wake kumweleza dhahama hiyo. Uncle kajaribu kuweka mambo sawa imeshindikana. Mama kanogewa, kijana kanogewa. Hivi sasa ni kama wameoana, mtaani wanarandaranda na gari ya mama yake rafiki yake, kijana dereva mama abiria! Wala si siri tena

Kijana wa watu amegoma kurudi nyumbani, rafiki yake amemsaliti. Amehamia kwa uncle wake. Kinachomuumiza kichwa zaidi ni kuwa dada zake wawili wanamuunga mkono mama yao. Hawaoni tatizo liko wapi wakati baba yao alishafariki na mama anahitaji pumziko.

Anachotaka sasa ni ushauri, alipe kisasi au asahau aendelee na hamsini zake?
Na kama ni kulipa kisasi, alipeje? Kijana wa watu amechanganyikiwa hata maendeleo yake darasani yameshuka sana.

Wana JF changieni mawazo jinsi ya kumshauri kijana huyu asizidi kuathirika kisaikolojia.

ODM babu Asprin ........ enzi zako hizo.. kabla hujaathiriwa na zoezi la ukaguzi......
 
Last edited by a moderator:
hapa dawa moja tu...nae amtongoze mama wa rafiki yake amle..then ale na dada za rafiki zake wote tena ahakikishe anawapiga mimba.... akishindwa akodi hata wahuni wa kumla tigo huyo rafiki
 
Mkuu Babu Asprin naomba namba za huyo Dogo nimtumie M-PESA akawatafute wafumua Malinda wamyooshe huyo kijana,maana huu Ni udhalilishaji wa Hali ya juu
 
Last edited by a moderator:
Rafiki kamsariti vipi kwani nae alikuwa anataka kummega? mshauli aendelee kumuita baba kwani huwezi kumuonea wivu mamayako.aliye lala na mama ni babayako hatakama ni mdogo. nakujikimbiza kwake nyumbani dogo atakomba kilakitu arudi akadhibiti mali
 
Nampa pole jamaa...huyo mama atakua shuga momy sio bure hajiheshimu angetafuta mzee mwenzake ...ila kama vip mshikaji na wapotezee ...
 
Ila huyo mama alikuwa anambaka huyo minor, kama ni form four kuna uwezekano mkubwa alikuwa under 18
 
Hamna tatizo hapo alipe kisasi cha nini kwani katendewa ubaya? Kama na yeye anaweza amege mama yake pia LOL
 
Back
Top Bottom