Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,961
- 2,138
Huyo Mzee alifariki na nini tena?
Kaka Bluray, usipende kumchunguza sana nyoka sehemu za tumboni, waweza pigwa na mshangao kumkuta kumbe ana miguu!!!!
Huyo Mzee alifariki na nini tena?
Kaka Bluray, usipende kumchunguza sana nyoka sehemu za tumboni, waweza pigwa na mshangao kumkuta kumbe ana miguu!!!!
Sioni kosa hapa kama kila mmoja anapata anachokihitaji kuna ubaya gani..sio rahic kuhivyo, hayajakufika tu.
Hii imetokea wiki kadhaa zilizopita.
Kijana mmoja jirani yangu ana rafiki yake. Walikuwa wanasoma pamoja. Ni marafiki wakubwa ambao hata wazazi wanajua. Walikuwa wanasoma pamoja na kushirikiana mambo mengi.
Kijana kaenda shule hakumkuta rafiki yake. Kuuliza akaambiwa anaumwa. Kwa mapenzi aliyo nayo kwa rafiki yake akaamua arudi nyumbani abadili nguo ili akamtembelee rafiki yake mgonjwa. Hapo ndipo alipokutana na zahama. Rafiki yake yuko juu anammega mama yake mzazi, tena sebuleni kwenye kochi! Kijana hakuamini macho yake, kwamba rafiki yake mpenzi anammegea mama yake mzazi!!
Akatoka mbio mpaka kwa uncle wake kumweleza dhahama hiyo. Uncle kajaribu kuweka mambo sawa imeshindikana. Mama kanogewa, kijana kanogewa. Hivi sasa ni kama wameoana, mtaani wanarandaranda na gari ya mama yake rafiki yake, kijana dereva mama abiria! Wala si siri tena
Kijana wa watu amegoma kurudi nyumbani, rafiki yake amemsaliti. Amehamia kwa uncle wake. Kinachomuumiza kichwa zaidi ni kuwa dada zake wawili wanamuunga mkono mama yao. Hawaoni tatizo liko wapi wakati baba yao alishafariki na mama anahitaji pumziko.
Anachotaka sasa ni ushauri, alipe kisasi au asahau aendelee na hamsini zake?
Na kama ni kulipa kisasi, alipeje? Kijana wa watu amechanganyikiwa hata maendeleo yake darasani yameshuka sana.
Wana JF changieni mawazo jinsi ya kumshauri kijana huyu asizidi kuathirika kisaikolojia.
hapa dawa moja tu...nae amtongoze mama wa rafiki yake amle..then ale na dada za rafiki zake wote tena ahakikishe anawapiga mimba.... akishindwa akodi hata wahuni wa kumla tigo huyo rafiki
Asprin kwani alitaka amfanye mama yake yeye mwenyewe?
:shut-mouth:
Asprin kwani alitaka amfanye mama yake yeye mwenyewe?
:shut-mouth:
teh teh teh. Hataki kumwita baba