MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
na wewe kammege mamake sijuwi wote wakizaa watoto wataitanaje? family problems! LOL!
......................Ehe!
na wewe kammege mamake sijuwi wote wakizaa watoto wataitanaje? family problems! LOL!
Hehehe kwa nini mama mwacheni kijana ashikilie mahips si unajua mimama anavyo jazia mihipps mwacheni dogo afaidi maisha yenyewe haya mafupi usishangae kesho wewe MJ1 tukakumiss kwa kujikwaa tu.
Teh teh teh teh....maini yetu yamefanana sana! hujambo lakini......ama uko busy na MBA?
Haya mwenzetu ndo inakuwaje kama mshkaji Fidel kafanya kweli kwa bi mkubwa?
Sijambo kaka mie mzima bukheri. MBA kakangu inaniacha na viulizo kibao kichwani!! hata sijui wa kumlaumu nani hapa!Haya mwenzetu ndo inakuwaje kama mshkaji Fidel kafanya kweli kwa bi mkubwa?
Mijanaume inayochukua visichana siku hizi yaitwa Fataki sijui haya majimama yanayochukua vijivulana kama huyo mwawaitaje??
Simpo anakuwa baba! Mbona jamani sisi mabachela tupo hatuna mavitambi na ukitaka fika Yerusalem hata mara idadi zisizohesabika utafika (multiple orgasm) MBA mara moja hoi anakumbuka hajalipa ada ya mtoto st.....)
Hee............ nimeshindwa mimi duh. Masa usinichekeshe pengine hao MBA wanapendewa hivyo vitambi si unajua tena? preferences zinatofautiana ati
My dia imethibishwa wenye mavitambi huwa wanakoroma sana wakilala...sasa hizo preference mnakosa raha za maisha bila sababu! MBA wako ana kitambi?
Masa mie sina MBA huyo wa kwangu tu mwenyewe ananichosha niongeze mengine ya nini kaka yangu?
Just for a change bwana...! Kuna siku uliandika upo upo, nikakuPM hadi leo hahhahahaha
Kaka we for change!! temporary relief................ hivi sijakujibu kweli?
Kaka we for change!! temporary relief................ hivi sijakujibu kweli?
Tafadhali mami...ulinichunia labda niconstruct upya maana niliakuandikia kitu kama shairi, kuliko yale ya mwanakijiji...lakini ukanibwaga vile vile...No worries nitakaachini this time nakupa romatic poem .....hahahahahah
mmmmh na wewe nawe!!!!!!
Hee pole spare me please mashairi tena.
jamani MBA ndo nini?
uliyoyaandika yote haya si ungenipa maana yake ndo maana waafrica hatuendelei au ungenipa maana ungebadilika na kuwa ushi wa Rombo?Do you're home work, mwanzoni mwa hii thread kuna tafsiri...wewe unauliza nini...acha uvivu na uzembe!