Rafiki anapokumegea mama yako....

Asprin

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
68,012
95,358
Hii imetokea wiki kadhaa zilizopita.

Kijana mmoja jirani yangu ana rafiki yake. Walikuwa wanasoma pamoja. Ni marafiki wakubwa ambao hata wazazi wanajua. Walikuwa wanasoma pamoja na kushirikiana mambo mengi.

Kijana kaenda shule hakumkuta rafiki yake. Kuuliza akaambiwa anaumwa. Kwa mapenzi aliyo nayo kwa rafiki yake akaamua arudi nyumbani abadili nguo ili akamtembelee rafiki yake mgonjwa. Hapo ndipo alipokutana na zahama. Rafiki yake yuko juu anammega mama yake mzazi, tena sebuleni kwenye kochi! Kijana hakuamini macho yake, kwamba rafiki yake mpenzi anammegea mama yake mzazi!!

Akatoka mbio mpaka kwa uncle wake kumweleza dhahama hiyo. Uncle kajaribu kuweka mambo sawa imeshindikana. Mama kanogewa, kijana kanogewa. Hivi sasa ni kama wameoana, mtaani wanarandaranda na gari ya mama yake rafiki yake, kijana dereva mama abiria! Wala si siri tena

Kijana wa watu amegoma kurudi nyumbani, rafiki yake amemsaliti. Amehamia kwa uncle wake. Kinachomuumiza kichwa zaidi ni kuwa dada zake wawili wanamuunga mkono mama yao. Hawaoni tatizo liko wapi wakati baba yao alishafariki na mama anahitaji pumziko.

Anachotaka sasa ni ushauri, alipe kisasi au asahau aendelee na hamsini zake?
Na kama ni kulipa kisasi, alipeje? Kijana wa watu amechanganyikiwa hata maendeleo yake darasani yameshuka sana.

Wana JF changieni mawazo jinsi ya kumshauri kijana huyu asizidi kuathirika kisaikolojia.
 
Mwambie mapenzi hayana macho hivyo amuache kijana aburudishe nafsi ya jimama,ila amshauri kwenda kupima trampet kwani siku hizi hakina mama nao hawaaminiki!
 
acha dogo ale mzigop bana!, mshkaji inabidi awe mpole tu, ajue kwamba jamaa sio mshkaji wake tena bali 'baba' yake!!, hahahaaaaaa aaah haa
 
Hii imetokea wiki kadhaa zilizopita.

Kijana mmoja jirani yangu ana rafiki yake. Walikuwa wanasoma pamoja. Ni marafiki wakubwa ambao hata wazazi wanajua. Walikuwa wanasoma pamoja na kushirikiana mambo mengi.

Kijana kaenda shule hakumkuta rafiki yake. Kuuliza akaambiwa anaumwa. Kwa mapenzi aliyo nayo kwa rafiki yake akaamua arudi nyumbani abadili nguo ili akamtembelee rafiki yake mgonjwa. Hapo ndipo alipokutana na zahama. Rafiki yake yuko juu anammega mama yake mzazi, tena sebuleni kwenye kochi! Kijana hakuamini macho yake, kwamba rafiki yake mpenzi anammegea mama yake mzazi!!

Akatoka mbio mpaka kwa uncle wake kumweleza dhahama hiyo. Uncle kajaribu kuweka mambo sawa imeshindikana. Mama kanogewa, kijana kanogewa. Hivi sasa ni kama wameoana, mtaani wanarandaranda na gari ya mama yake rafiki yake, kijana dereva mama abiria! Wala si siri tena

Kijana wa watu amegoma kurudi nyumbani, rafiki yake amemsaliti. Amehamia kwa uncle wake. Kinachomuumiza kichwa zaidi ni kuwa dada zake wawili wanamuunga mkono mama yao. Hawaoni tatizo liko wapi wakati baba yao alishafariki na mama anahitaji pumziko.

Anachotaka sasa ni ushauri, alipe kisasi au asahau aendelee na hamsini zake?
Na kama ni kulipa kisasi, alipeje? Kijana wa watu amechanganyikiwa hata maendeleo yake darasani yameshuka sana.

Wana JF changieni mawazo jinsi ya kumshauri kijana huyu asizidi kuathirika kisaikolojia.

Awaache tu kwani wote wamemsaliti, mama kamsaliti, na rafiki pia. Kama mama yake ameona hiyo ndiyo furaha yake ya moyoni ambacho nadhani c kweli basi amwache. Na huyo rafiki yake kama ameona kutembea na mama ya rafiki yake ambaye ni sawa na mama yake mzazi, basi jamaa inabidi tu aachane nao, hila ushauri wangu afanye kama vile hajaona kitu chochote maana akiendelea kiyaweka moyoni yatamuumiza kama hivyo ambavyo mpaka ameshuka kimasomo. Achukue time zake na aangalie masomo na mambo yake kwani elimu ndio msingi wa maisha. Mama yake yeye ameamua kumaliza maisha na mtoto wake basi amwache. Maana cc hatuna cha kusema zaidi ya kumwachia Mwenyezi Mungu pekee ndie ajuaye kama ni sawa au c sawa.
 
Daaah hapo ni balaa kweli kweli.
Ila dogo kausha na piga kitabu kwa sana tu ktakusaidia mbeleni.Huyo mama umri ushakwenda hivyo hana cha kupoteza,anytime anaweza wahi zake,bali wewe ndo ita kula kwako ukikaa na kuendelea kulifikiria tukio hilo.
 
Huyo mama ana lana awezatembea hata na mwanae huyo. Awaache dunia itawafunza!

Na wewe nawe mama ana lana gani? Nani kakwambia mapenzi yana umri? Mwache dogo ajimegee cha muhimu huyo dogo aaanze kumwita rafiki yake baba mdogo.
 
acha dogo ale mzigop bana!, mshkaji inabidi awe mpole tu, ajue kwamba jamaa sio mshkaji wake tena bali 'baba' yake!!, hahahaaaaaa aaah haa

Mdau usicheke. Fikiria laiti kama ungekuwa wewe. Siyo jambo la kuchekesha mkuu.
 
Hii imetokea wiki kadhaa zilizopita.

Kijana mmoja jirani yangu ana rafiki yake. Walikuwa wanasoma pamoja. Ni marafiki wakubwa ambao hata wazazi wanajua. Walikuwa wanasoma pamoja na kushirikiana mambo mengi.

Kijana kaenda shule hakumkuta rafiki yake. Kuuliza akaambiwa anaumwa. Kwa mapenzi aliyo nayo kwa rafiki yake akaamua arudi nyumbani abadili nguo ili akamtembelee rafiki yake mgonjwa. Hapo ndipo alipokutana na zahama. Rafiki yake yuko juu anammega mama yake mzazi, tena sebuleni kwenye kochi! Kijana hakuamini macho yake, kwamba rafiki yake mpenzi anammegea mama yake mzazi!!

Akatoka mbio mpaka kwa uncle wake kumweleza dhahama hiyo. Uncle kajaribu kuweka mambo sawa imeshindikana. Mama kanogewa, kijana kanogewa. Hivi sasa ni kama wameoana, mtaani wanarandaranda na gari ya mama yake rafiki yake, kijana dereva mama abiria! Wala si siri tena

Kijana wa watu amegoma kurudi nyumbani, rafiki yake amemsaliti. Amehamia kwa uncle wake. Kinachomuumiza kichwa zaidi ni kuwa dada zake wawili wanamuunga mkono mama yao. Hawaoni tatizo liko wapi wakati baba yao alishafariki na mama anahitaji pumziko.

Anachotaka sasa ni ushauri, alipe kisasi au asahau aendelee na hamsini zake?
Na kama ni kulipa kisasi, alipeje? Kijana wa watu amechanganyikiwa hata maendeleo yake darasani yameshuka sana.

Wana JF changieni mawazo jinsi ya kumshauri kijana huyu asizidi kuathirika kisaikolojia.

Simple, amwite baba tu na aanze kumheshimu. Anaye lala na mama yako jamani ni baba yako huyo! dogo aache ujinga akue
 
Simple, amwite baba tu na aanze kumheshimu. Anaye lala na mama yako jamani ni baba yako huyo! dogo aache ujinga akue

Si ndo hapo mpwa jamaa anamaindi kwa vile dogo anamega alipo tokea yeye asiumie na yeye kama anaweza amfuate mama ake na huyo dogo amege na yeye ili arudishe heshima mbele.
 
Si ndo hapo mpwa jamaa anamaindi kwa vile dogo anamega alipo tokea yeye asiumie na yeye kama anaweza amfuate mama ake na huyo dogo amege na yeye ili arudishe heshima mbele.

Tena kama ni mimi nitaanza na dada zake na kumalizia na mama yake....heshima lazima irudi hapo!
 
Tena kama ni mimi nitaanza na dada zake na kumalizia na mama yake....heshima lazima irudi hapo!

Hahaha dah alafu kama huyo dogo anae legezewa mama si ana madada wa 2 lazima nawenyewe watamshobokea dogo nao atawamega maana naona yupo juu.
 
Mpwa kwani kuna ubaya wowote kikubwa kama mam'kubwa anaridhika na mapigo ya dogo.

Mmmhhh...hii komredi sina uhakika nayo maana siku ukinikuta niko juu ya kiuno cha maza utanielewa kweli hata kama maza amenogewa na mapigo? Lol
 
Mmmhhh...hii komredi sina uhakika nayo maana siku ukinikuta niko juu ya kiuno cha maza utanielewa kweli hata kama maza amenogewa na mapigo? Lol

Hahahaha lol nitafanyaje sasa?
Mi najishusha tu maisha yataendelea nitakuheshimu zaidi kwa vile utakuwa umegeuka baba mdogo sasa.
 
Back
Top Bottom