Gordon Brown
Member
- Aug 28, 2011
- 9
- 0
Katika kizazi kijacho kitakuwa hakijui kiswahili fasaha kwa kiasi kikubwa sana, kwani baadhi ya radio zetu zimekuwa mstari wa mbele kuua lugha yetu na kuingiza maneno ya kihuni tuu, sipati picha huko mbele itakuwaje.
Hii ni hatari sama na wizara husika imevikalia kimya vyombo vya habari.
Hii ni hatari sama na wizara husika imevikalia kimya vyombo vya habari.