Radio Za Bongo

Mkereketwa_Huyu

JF-Expert Member
Feb 19, 2011
9,217
6,349
Kwa nini radio za Bongo hupenda kutupigia nyimbo za kipuuzi redioni wakati tuna muziki wetu wa asili? Muziki wa fleva uwe unapigwa asili mia kumi tu kwani hauna maadili yeyote yale katika jamii yetu na uwe unapigwa asubuhi tu ili watoto wapate kusikia nyimbo za kibigijii. Radio za bongo tuwekeeni taarab, bongo dansi, chakacha, kibao kata nk...ila kwa flags mnachemsha, hatuzitaki tena big hii zenu.
 
Nashangaa nyimbo za mtoni wanaziplay zikiwa clean(edited for radio use)-ambao wengi hatuelewi kina 50cent lil wayne wanaimba nini,cha kushangaza hizi ambazo tunazielewa za kiswahili wanacheza Dirty version khaaa sio ujinga huu?

Eg. 1.Mpenzi usiongeze tayari nishaloa
2.Tingisha kama imekwisha(Hapa demu anatingisha wezere dembendembe)
3.Mahaters wote nawaona K badala ya P kwenye Puma
4.Njaa imezidi mjini hata mala.ya-usije mjini
5.Maplayer haters wanazidi kuwakawaka nawapa dole la kati.I don't care mazafaza-ngwair

Mtoni:
1.Whip whip(edited) apart than I put myself together ymcmc double m we rich 4ever
2.I flip the (edited) and the index finger follow-dueces
3.We got (edit) the size of lil bow wow whatchu know about (edit) equiped with (edit) -wanksta

Waache ujinga nyimbo za kingeleza wanapiga clean version za kiswahili wanapiga dirty version
 
Hapo kwenye nyimbo za bongo fleva huwa sielewe chochote, hivi wakiimba kama nyimbo zingine za dansi lakini kwa mahadhi ya hiyo fleva yao haitawezekana?
 
Sasa ndiyo uone kuwa wanamuziki wa TZ are useless. Cha kusikitisha utaona wanapewa air time nyingi wakati wanachokiimba hata wenyewe hawakijuwi. Radio za bongo plz tieni akili kichwani, it's time to ditch fleva music.
 
Mziki wa bongo flava umeingiliwa na wabana pua ambao mashairi yao ni mepesi mno. Wanaimba nyimbo hata watoto wadogo wanaimba. Utasikia mtoto mdogo tena wakike anaimba dushelele
 
Back
Top Bottom