Inanishangaza sana,wote wanao'support ujinga wa Kitenge na wenzake wa radio one ni mashabiki wa Simba ambao wanatamani habari za Manji kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Yanga ingekuwa ni hadithi za Shigongo,poleni sana kwakuwa hamuwezi kupingana na hali halisi.
Kama ni hivyo,sawa...lakini kwanini wasapoti wapinzani wa manji na kuwapiga debe,kwanini wasikae kimya kabisa?! Na *wasiripoti habari za yanga kabisa tuone nani anamuhitataji mwenzake...was***enge wakubwaUsichokijua ni bora kuuliza!! Kwa taarifa yako Manji aliviwekea pingamizi ya kimahakama baadhi ya vyombo vya habari, vikiwemo Tanzania, Daima na Vyombo vya Habari vya IPP akivizuia kuripoti habari kuhusu yeye, familia yake, biashara zake, na chochote kinachomhusu. Na pingamizi hilo bado hajalitengua...ndio maana hata wakati anazindua Quality Centre habari ile muhimu haikupata coverage kubwa.
KICHWA MAJI WEWE....MANJI ANAUGOMVI NA MENGI PAMOJA NA MEDIA ZAKE ZOTE....hivyo kuna Court order inayoizuia IPP na Media zake kutotangaza lolote linalohusu Manji or Bussiness Under his Management...kama hujui uliza sio unaropoka tuu hiki sio KIJIWE CHA KAHAWA NDUGUInanishangaza sana,wote wanao'support ujinga wa Kitenge na wenzake wa radio one ni mashabiki wa Simba ambao wanatamani habari za Manji kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Yanga ingekuwa ni hadithi za Shigongo,poleni sana kwakuwa hamuwezi kupingana na hali halisi.
wewe ndo mse************ wa kwanzakama ni hivyo,sawa...lakini kwanini wasapoti wapinzani wa manji na kuwapiga debe,kwanini wasikae kimya kabisa?! Na *wasiripoti habari za yanga kabisa tuone nani anamuhitataji mwenzake...was***enge wakubwa