kasambalakk
Senior Member
- Apr 2, 2011
- 125
- 17
habari za mida hii...samahani hivi naomba kuuliza kidogo najua ukiwa na desktop unaweza ukanunua kifaa kimoja ukaweka nyuma ya cpu na ukapata radio viziri bila haja ya internet je kwenye laptop hio kitu ipo au laaaa:shock: