Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Pamoja na kwamba wahusika wamefumbia macho swala la kuweka Radio kwenye Bajaj na Pikipiki lakini nionavyo mimi jambo hili linahatarisha usalama wa watumiaji wa vyombo hivyo na watumiaji wa barabara kwa ujumla..
Nawasilisha..
Nawasilisha..