Kama ulivyowasema vibaya kwenye comment hii? Mkuu, fikiria zaidi ya hapo bana
Ritz embu nisaidie mkuu ni nani na nani wapo studio?Endeleni kusikiliza mpate darsa.
104.50 MHz
Kipindi kimemalizika lakini.
afikirie nini na nyie mods mnachekelea watu wanavyoutukana uislam hapa,,,,,posts na koment nyingine za kipuuz kabisa na mnaziacha tu,,,,,,,,
ok Thanks nilitaka kufahamu tu Ubarikiwe na uwe Mkristu sawa eeh! ila mimi ni Judaism104.50 MHz
Kipindi kimemalizika lakini.
Wewe hujanielewa nilikuwa najibu post yako. Na wala huu sio msimamo wa JF. Wewe vipi ndugu yangu acha kupotosha.
Btw.. kwa nini wale waliokamatwa mbagala mnaandamana ili waachiwe ili hali waliiba sadaka na komputa kanisani? Halafu acha kumtaja taja invisible hapa unataka unitafutie ban si ndio. Hapa tunajadiliana na hatukashifiani.
ok Thanks nilitaka kufahamu tu Ubarikiwe na uwe Mkristu sawa eeh! ila mimi ni Judaism
Wewe endelea kuichafua JF kupitia mgongo wa dini...JF kwako ni uwanja wa mapambano dhidi ya Uislam.
Copy hizo post uziweke hapa..
ha ha haa! Mbona kwenye familia yetu kuna wakiristo wengi na tunapendana sana.
Wewe hujanielewa nilikuwa najibu post yako. Na wala huu sio msimamo wa JF. Wewe vipi ndugu yangu acha kupotosha.
Btw.. kwa nini wale waliokamatwa mbagala mnaandamana ili waachiwe ili hali waliiba sadaka na komputa kanisani? Halafu acha kumtaja taja invisible hapa unataka unitafutie ban si ndio. Hapa tunajadiliana na hatukashifiani.
Sheria na kanuni za JF haziruhusu kubandika matusi na kejeli.
Acha kunipakazia wewe. Tatizo lenu hamjui adui wenu ni nani, wapi ambapo nimepambana na uislam?
Mimi sio kama wewe JF kwako ni kiwanja cha mapambano kati yako wewe na dr Slaa ..
Unaitetea ccm kila saa ila leo hii wanakutandika kama nini ukweli unaujua moyoni kuwa ccm ni wabaya sana . Na ndio maana kule visiwani wamechoma ofisi za ccm. Wewe nakushangaa unaitetea ikikuchapa unahamia kwenye mfumo kristo ambao haupo.
ataskiza jumapili ijayo,,,,
redio Iman elimu BILA MIPAKA
Wewe endelea kuichafua JF kupitia mgongo wa dini...JF kwako ni uwanja wa mapambano dhidi ya Uislam.
Wewe endelea kuichafua JF kupitia mgongo wa dini...JF kwako ni uwanja wa mapambano dhidi ya Uislam.
Sikupakazii huo ndio kweli badilka wewe ni mkogwe humu JF.