Radio Imaan yaitaja JamiiForums kuhusika na uchochezi wa kidini nchini

Status
Not open for further replies.
Endeleni kusikiliza mpate darsa.
Kweli ni muhimu kuelimika; lakini nadhani pale wanapokosea waambiwe; offline community isipotoshwe na wenye access ya mtandao.

Hata hivyo, watumiaji wa JF hawawezi kuwa na maoni sawa; comment moja kwenye FORUMS inaweza kuibua mjadala lakini haiwezi kumaanisha wote wanaotumia JF (mmojawapo wewe) wanaiafiki comment hiyo.
 
Kama waliosoma ndio wako hivi, jiulize waliokacha madarasa watakuwaje huko upstairs.
 
Wasomi waislamu ni wasomi kweli wapo wengi sana, na huwezi kuwaona wanakwenda kwenye Radio kama hiyo.

Kuna watu ambao ni schooled but not educated (a.k.a educated fools) they can be graduates, lecturers or whatever, lakini hawawezi kuitwa wasomi kutokana na uwezo wao wa kuangalia, kuchanganua na kuelezea maswala kisomi.

Kama asilimia 10 ya waliofanya vurugu wangepitia hapa JF kusingekuwa na vurugu.
 
Radio Iman: ponda amekamatwa kwa maagzo ya wakristo Nimeshangazwa sana na hawa jamaa. madai yao kuna watu wa kikristo walitoa maagzo akamatwe.
SINA IMANI NA RADIO IMANI
 
Katika Tatizo la udini, tusilaumu tulipoanguka, bali tuchunguze tulipojikwaa. Tujifunze kuwa wa kweli. Tusiwe wa kutanguliza lawama. tujichunguze ili kujisahihisha.
 
Darsa ninalotaka mie ni kuuelewa uislamu ulivyo na uzuri na faida zake. Sipati hicho, sitiwi moyo wala.sichochewi kuujua uislamu zaidi. Mtakapoanza kufanya hivyo hamtahitaji kumtafuta mchawi.
Endeleni kusikiliza mpate darsa.
 
Wanaogopa kuitaja hiyo radio Imaan wakihofia kupewa kichapo kama mwenzao (Imam) aliyejaribu kuzuia maandamao ile ijumaa akaambulia kichapo. Shame on them!!!!!!!!
 
Nasikiliza hii redio 104.5 naona wanavyohalalisha ouvu for sure wanadhalilisha sana uislaam
 
jf inahusika kuusema vibaya waislam kwa kejeli
JF ni nani??hebu fungukeni mjiulize chombo kama JF kinakuwa na watu milioni wote wana mawazo tofauti iweje u generalize simply kwakuwa comment imetoka jf??Dah waislamu duniani bado wanasafari ndefu kwakuwa naona waislam wote akili zao zina fanana!Na tatizo hawataki kujikubali na hawataki kubadrika japo kuna waislamu wenye mitazamo tofauti na dini zao na ni waelewa wako neutral!ila wengi siwaelewa kabisa!
 
Hao kama kweli ni wasomi mbona wanatazama kwa jicho moja? Msomi siku zote hutazama kwa macho yote mawili, kwa maana nyingine nikwamba walipaswa kuona kwanza uchochezi wa Radio Imani kisha wageukie vyombo vingine vya habari.
 
Jamani mkumbuke izo kejeli zenu kwa viongozi wetu wa dini co zao tu ni zetu pia!,naombeni tuheshimiane na imani zetu tusije tukageuza apa jamvi la matusi!,mpaka inafkia mtu et anachangia "watu wengine na imani za kuunga unga" modes post za aina hii zinatupandisha hasira!!!!!!!,au na ss tuanze kurudisha matusi ili kiwe nn???!jamani naomba tuheshimiane..
 
Kweli ni muhimu kuelimika; lakini nadhani pale wanapokosea waambiwe; offline community isipotoshwe na wenye access ya mtandao.

Hata hivyo, watumiaji wa JF hawawezi kuwa na maoni sawa; comment moja kwenye FORUMS inaweza kuibua mjadala lakini haiwezi kumaanisha wote wanaotumia JF (mmojawapo wewe) wanaiafiki comment hiyo.

Mkuu Invisible,
Bahati mbaya umejibu bila kufanya utafiti mleta mada kaleta huu uzi kishabiki kitu ambacho kibaya sana.

Mie nasikiliza hiki kipindi alichosema mchangiaji alikuwa anasema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana akatoa mfano kasoma maoni JF kuna mtu kasema Waislam hawana akili za uongozi wala hakusema JF inaleta uchochezi.

Mkuu tatizo tunakuwa na ushabiki wa kidini wala Radio hawana bifu lolote na JF members wa JF ndio wanakuza mambo.

Radio imani wanaibana serikali kwenye madai yao.

"Radio Imaan yaitaja JamiiForums kuhusika na uchochozi wa kidini nchini"

Haya maneno ya kipuuzi kabisa mleta huu uzi kaamua kuteka akili za watu na kafanikiwa.
 
Last edited by a moderator:
jf ninani??hebu fungukeni mjiulize cchombo kama jf kinakuwa na watu milioni wote wana mawazotofauti iweje u generalize simply kwakuwa comment imetoka jf??dah waislamu duniani bado wanasafari ndefu kwakuwa naona waislam wote akili zao zinna fanana!natatizo hawataki kujikubali na hawataki kubadrika japo kuna waislamu wenye mitazamo tofauti na dini zao wako neutral!wengi siwaelewa kabisa!
nyani haoni kundule. Jana niliona star tv kipindi cha mwangaza wa habari waandishi wa habari walikuwa kama maaskofu na mapadri. Kweli waislam wanasafari ndefu ya kufika hapa tz kwa jinsi mfimo ulivyojijenga
 
Tatizo hawaisomi Kulaani yote wakaelewa mambo yaliyomo.. wanaenda na upepo tuuuuuuuuuuuuuuuuu.

Ntaweka video sasa hivi oooh ho!!
 
ina maana waislam wenyewe kwa wenyewe hawaijui quran.... anasema eti bedui alivyokojolea msikiti mtume akawaambia watie ndoo nzima ya maji sasa na huyu kakojolea msahafu je wachukue ndoo nzima ya maji waitie kwenye msahafu???????
 
Mkuu Invisible,
Bahati mbaya umejibu bila kufanya utafiti mleta mada kaleta huu uzi kishabiki kitu ambacho kibaya sana.

Mie nasikiliza hiki kipindi alichosema mchangia alikuwa anasema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana akatoa mfano kasoma maoni JF kuna mtu kasema Waislam hawana akili za uongozi wala hakusema JF inaleta uchochezi.

Mkuu tatizo tunakuwa na ushabiki wa kidini wala Radio hawana bifu lolote na JF members wa JF ndio wanakuza mambo.

Radio imani wanaibana serikali kwenye madai yao.

nipo morogoro. nasikiliza kwa umakini redio imaan sikurupuki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom