Radio Imaan: Kikwete anajipendekeza kwa wakristu!

Status
Not open for further replies.
Kilichotokea ni matokeo ya serikali kufumbia macho viongozi wa dini wanaodhani wanaweza kufanya chochote ndani ya nchi hii. Na hivi vyombo vinavyotumika kuenezea chuki katika jamii visipodhibitiwa iko siku itakua tabu. Hii radio Imani imeanza zamani kueneza chuki serikali imefumbia macho n goja na radio za kikristo zianze kueneza chuki dhidi ya waislamu halafu tuanze kuchinjana.
 
Mimi ninachojiuliza supposed huyo MTOTO angekojolea Quran na halafu angeuka KWELI kuwa MJUSI baso WAISLAMU wangefanya fujo na kuchoma makanisa?! (Remember yalikuwa mabishano kati ya watoto wawili Mwislamu V Mkiristu)

Maana tunaweza kudhani kwamba kilicho wakasirisha waislamu ni Quran kukojelewa. KUMBE UKWELI hasira za WAISLAMU zimetokana na MTOTO huyo kutogeuka kuwa MJUSI!

Mkuu umenena yale yalikuwa majaribio ya imani lkn kutokana na kushindwa kitu ambacho kinaweza hata kupoteza imani kwa waislam wengine juu ya kitabu chao ndiyo maana wakaanzisha fujo ili ukweli usionekane.
 
nilianzisha thread kuhusu radio imaan na uchochezi wa bwana ponda, heading yake ilikua RADIO IMAAN: Sasa hatutafuata Sheria, tutachukua hatua wenyewe!, badae mods wakaitupilia mbali (na nilichopost ilikua quote ya kiongozi wa bwana ponda, akiongea live kupitia hio redio imaan).

hawa radicals wanaogopwa sana, hata JF inashikwa na uoga, maana hawagusiki, ukiwagusa tu unaweza kuchomewa nyumba, gari, au familia, na sasa kila mtu (hata JF) anaogopa.

i bet hata thread hii itaondolea hivi punde
 
sio kweli makosa yenu hamyaoni?, bila kijana huyo kukojolea quran mengne yasingetokea. Hatuungi mkono kuchomwa makanisa lakin tunashangaa mnapuuzia alichokifanya kijana wenu na mnakiona ni sawa

Tukienda kwenye mzizi je huyo mtoto ambae alishindwa kukihifadhi kitabu hicho kitakatifu na kumpatia mwenzie akikijolee na yeye kapatiwa adhabu gani? maana wote ni wakosefu au kwa kuwa yeyey ni Muislam, hana hatia? Na huyo mtoto alifundishwa na nani kuwa kitabu hicho kitakatifu kikikojolewa au kikidhihakiwa anayekidhihaki baya litamfika. Atageuka mjusi............................. Nafikiri yote yaliyotokea ilikuwa ni jazba kwamba mkojoleaje hajageuka mjusi kama ambavyo mtoto alifundishwa huko alikofundishwa hayo.
 
Nachoogopa kuchangia mijadala ya kidini, ni kuwa mara nyingi imejaa jazba na provocative statements. Dini ni suala sensitive sana kuwa dealt namna hiyo.
 
kukojolewa kwa qur an kwetu sisi sio ishu ndogo,the way mlifofadhaishwa na hao waliokosa akili na subira na kuyachoma makanisa is the same way na sisi tulivofadhaishwa na kile kikinda kuikojolea qur an yetu,,kwaiyo kama vip tupate fundisho wote pande husika then tugawane ustaarabu,mpenda aman ndio mlinda aman,mvunja aman ni yule mwanzilish wa choko choko bila kujali excuse ya ain yoyote ile..!!

jamani msaada kidogo, hivi kile kilichopo kwenye kuran kimeandikwa ama kimechorwa? Niko siriaz!
 
MIMI NAWASHAURINI NDUGU ZANGU KWENYE MAMBO YA MSINGI TUWEKE PEMBENI EMOTIONS.tUKIWA TUNASHUGHULIKIA MAMBO YA MSINGI KWA EMOTIONS,MARA NYINGI TUTAKUWA TUNAISHIA PABAYA MAANA ANAETUMIA EMOTIONS HUWA HATUMII AKILI.SASA KATIKA SUALA LA HUYU MTOTO;KWANZA WOTE (WAISLAM,WAKRISTO NA HATA WASIOKUWA NA DINI LAKINI WALIOJAALIWA WALAU CHEMBE YA UADILIFU)TUNAKUBALIANA KWAMBA HAKUWA SAHIHI.SASA BAADA YA HAPO KILA MTU ANGEPASWA ACHUKUE HATUA SAHIHI BAADA YA KUPATA TAARIFA YA HUYO MTOTO.HATUA SAHIHI ILIKUWA NI WALIOMUONA WAMKAMATE,KAMA NI MTOTO WAMCHAPE FIMBO NYINGI NA KUMUONYA (NADHANI HAKUNA MTU AMBAYE ANGESHANGAA WALA KULAUMU KWA HATUA HIYO).KAMA NI MTU MZIMA APELEKWE POLISI KISHA PAWE NA JOPO LA KUFUATILIA ADHABU ATAKAYOPEWA.SASA TATIZO NI KWAMBA WATANZANIA MIONGONI MWETU TUMEANZISHA TABIA YA KUONGOZWA NA HISIA BADALA AKILI NDO MAANAWAISLAM WAKAANZA KUFANYA FUJO.CHA KUSHANGAZA NI KWAMBA WANAOONGOZA VURUGU HIZI WAKATI MWINGINE NIWASOMI! MFANO AKINA PONDA WANACHOCHEA KUWAFANYIA VURUGU WASIO WAISLAM HUKU ANAJUA WASIO WAISLAM NAO PIA WANA UWEZO WA KUWAFANYIA VURUGU WAISLAM! NA VYAMA VYA SIASA (BAADHI) NA VIONGOZI WAO HIVYO HIVYO!SASA KWA MFANO WATU WANASHANGAA KWA NINI PONDA ANACHOCHEA FUJO LAKINI HAKAMATWI?TATIZO NYUMA YAKE LIKO KUNDI KUMBWA AMBALO LINAONGOZO NA EMOTION AMBALO LIKO TAYARI KUFANYA FUJO BILA KUANGALIA MBELE.KWA HIYO KUMKAMATA INABIDI KUANGALIA MBELE NA NYUMA JAPO ANACHOFANYA NI KOSA.MFANO!NANI ASIYEJUA ANACHOFANYA JOSEPH KONNY! LAKINI HATIMAE HAKAMATWI!NDO MAANA HATA VIONGOZI WA VYAMA WANASHAURIWA WAJITAHIDI KUWA WAADILIFU KWA SABABU WAKIANZISHA FUJO SHERIA INASHINDWA KUFANYA KAZI KWA KUWA KUNAKUWA NA MAMILIONI YA WATU NYUMA YAO AMBAO WANAKUWA WAMEAPA KUTOHESHIMU SHERIA .
 
nyerere alifanya kosa kubwa sana kutaifisha shule na kuruhusu waislam tupate elimu dunia,mana zile za wamishen tuligoma kwa kupinga kula mdudu mchafu nguruwe,wanaosema kizaz hiki waislam hatuna shule ukweli wanaujua mioyon mwao,
waziri kighoma ali malima,marehemu mungu amlaze mahala pema pepon alicheza kama pele kwa kuingiza examination numbers system NECTA Kua mfumo rasmi kipind kile had saiz tunanufaika nao,lasivo wangeendelea kutukata kama walivokazoea zama hzo,wakiona dullah ana div one wana mkatilia mbali,kuendelea kuimba kwaya had leo kua waislam hatuna shule,ni kama kutoa kilio cha samaki tuh,tumesoma bila kukaririri,watoto hatuachi kuwapeleka madrasa kama kawa wakale ubwabwa kama mnavokejeli,lkn elimu dunia tunawajaza kisawa sawa na tunaenda sawa kabisa na hilo,tunajivunia kua waislam zaid ya kitu chchte maishan mwetu,na tutaipigania dini hii kwa gharama yyte ile ikibid hata uhai wetu,kwan tunaamin kuna maisha baada ya hapa,na njia pekee ya kuyafikia ni uislam na qur an ni mwongzo husika,kwanin iko kitoto kikojeleee qur an yetu??
hakijafunzwa maadili na wazaz pamoja na viongoz wake wa dini??
choko choko mwazianza nyie,tukireact mwakimbilia polisi,,nchi hii yetu sote..
:A S 101::A S 101:
 
Hata mimi nimesikia hii radio imaaan ikiendelea kuhubri chuki namna hii yatatukuta mengi

Uchochezi unafanywa wazi wazi, kwenda Mbagala ilikuwa kiini macho tu, kwa redio imaan uzi ni ule ule kwa vile wana kinga ya kufanya watakavyo, liwalo na liwe/liwe na liwalo
 
Halafu jamani! Hebu watanzania tujaribuni kufuata msingi mkuu wa uadilifu ambao ni zaidi hata ya dini.ambao ni "kumfanyia mwenzako jambo ambalo ungetamani na wewe ufanyiwe hivyohivyo au ufanyavyo ungetamani kila mtu afanye hivyo hivyo." yaani;kaama wewe ni mkiristo mfano na umeamua kukojolea msahafu ukojolee kana kwamba ukimuona muislam anakojolea biblia utasema (safi!") na muislam anapoenda kuharibu kanisa aharibu kana kwamba akimuona mkiristo anaharibu msikiti atafurahi.mtu akimlaumu kiongozi fulani kwamba anaiba pesa mfano;umlaumu kana kwamba wewe ukiwa pale hutaiba hata kumi.chama tawala kizuilie maandamano rasmi au yasiyo rasmi kana kwamba chenyewe kingekuwa ndo upinzani na kikazuiliwa kingeridhika. Na vyama ya upinzani vilaumu serikal kuzuilia maandamano yasiyo rasmi kana kwamba kama wao ndo wangekuwa madarakani wangewaachia watu waandamane watakavyo.zaidi ya hapo mimi najiuliza nani mwema kwenye hii nchi nakosa majibu.
 
uchochezi unafanywa wazi wazi, kwenda mbagala ilikuwa kiini macho tu, kwa redio imaan uzi ni ule ule kwa vile wana kinga ya kufanya watakavyo, liwalo na liwe/liwe na liwalo
sasa ndugu yangu;tatizo si kwa kuwa una kinga au uwezo wa kufanya jambo flani ndo ufanye tu! Lazima tuwe tunatumia akili ndugu yangu.mfano kama mimi nina uwezo wa kubaka katoto ka darasa la pili na nisifanywe kitu na mtu unadhani natakiwa nifanye hivyo?unadhani kwa nini rais ana uwezo na kinga ya kusaini mtu kunyongwa lakini hasaini?
 
Mi niwapeni USHAURI wa BURE, sidhani kama nia ya mleta uzi ilikuwa nani zaidi kati ya uislam au ukristu, mi niwaombe jaribuni kujenga hoja kuelimishana kwa upendo bila kujali anayechangia ni wa dini gani. Mi kwa maoni yangu tukiendelea hivi hatutafika vita ya UDINI hatuhitaji kwani VITA ya UMASIKINI WETU inatutosha. Na Muwaonee huruma viongozi wetu kwani hawana uwezo wa kutatua matatizo ya UDINI. Wameshindwa kutatua matatizo ya Muungano, Mahakama ya Kadhi sembuse ya UDINI watayaweza. Kuweni na busara zaidi kuliko kukoleza mgogoro huu. Watu wengi wameshasema kitendo cha mtoto kukojolea Quran ni kola la kitoto kwa kuwa chanzo ni utoto wao, lakini hilo si sababu ya kuchoma makanisa hata kidogo. Makanisa hayakumtuma mtoto huyo kufanya alichokifanya, pili tayari alikuwa mikononi mwa vyombo vya dola, waislam wenye busara na elimu walipaswa kufuatilia na kutoa ushaidi sehemu husika ili hatua stahiki siweze kuchukuliwa lakini si hatua walizochukua. Wakristu nao wakiamua kuchoma miskiti hii nchi haitakalika. Miskiti wala makanisa hapatasalika tena. Kwa hito nafikiri UTAIFA wetu unapaswa kuwa mbele zaidi kwani ndio unaotupa fursa ya kuingia makanisani na miskitini kufanya swala. Sisi tunaona amani ya Tanzania la kwanza mengine baadae. Lakini niwakumbushe wale wenzangu wenye ufinyu wa kufikiri kuwa kwa TATIZO kama hili suluhisho haliwezi kuwa uchomaji wa makanisa. Kwa mfano wamepata nini baada ya kuchoma na kuharibu makanisa. Violence is not a solution to problems., let us believe in table negotiations. Kwa maana nyingine wakristu wangeamua kuchoma miskiti tatizo lingekuwa kubwa zaidi. Busara na kuvumiliana vinahitajika sana kwenye Taifa lenye imani mbili tofauti ni muhimu sana. Mfano waislam walichoma makanisa miezi michache kule Zanzibar kwa madai ya kupinga Muungano lakini walionyesha busara sana hawakufanya chochote. Sasa kuna uhusiano gani kati ya ukristu na Muungano ndo maana sisi waislam tunaonekana washari hatuna elimu hatuwezi kuanalyse vitu rahisi kama hivi. MWISHO Watanzania ILI TUBAKI SALAMA PANDE ZOTE TUACHE PROPAGANDA ZA UDINI NCHI YETU BADO TUNAIPENDA NA TUNATAKA IENDELEE KUWA YA MFANO KWA MIAKA MINGI IJAYO< BINAFSI SIAONA SABABU YA KUTUPELEKA KOTE HUKO KWA SASA. MUNGU IBARIKI TANZANIA YETU. AMENI
 
nyerere alifanya kosa kubwa sana kutaifisha shule na kuruhusu waislam tupate elimu dunia,mana zile za wamishen tuligoma kwa kupinga kula mdudu mchafu nguruwe,wanaosema kizaz hiki waislam hatuna shule ukweli wanaujua mioyon mwao,
waziri kighoma ali malima,marehemu mungu amlaze mahala pema pepon alicheza kama pele kwa kuingiza examination numbers system necta kua mfumo rasmi kipind kile had saiz tunanufaika nao,lasivo wangeendelea kutukata kama walivokazoea zama hzo,wakiona dullah ana div one wana mkatilia mbali,kuendelea kuimba kwaya had leo kua waislam hatuna shule,ni kama kutoa kilio cha samaki tuh,tumesoma bila kukaririri,watoto hatuachi kuwapeleka madrasa kama kawa wakale ubwabwa kama mnavokejeli,lkn elimu dunia tunawajaza kisawa sawa na tunaenda sawa kabisa na hilo,tunajivunia kua waislam zaid ya kitu chchte maishan mwetu,na tutaipigania dini hii kwa gharama yyte ile ikibid hata uhai wetu,kwan tunaamin kuna maisha baada ya hapa,na njia pekee ya kuyafikia ni uislam na qur an ni mwongzo husika,kwanin iko kitoto kikojeleee qur an yetu??
Hakijafunzwa maadili na wazaz pamoja na viongoz wake wa dini??
Choko choko mwazianza nyie,tukireact mwakimbilia polisi,,nchi hii yetu sote..
:a s 101::a s 101:
ni kweli kwamba waislam walidhulumiwa nyuma.mfano kipindi cha memorandam of understanding ila sasa hivi hii nchi ni kufaiti tu mwenyewe.kulalama hakuna mpango.sasa mfano kikwete kasema "aliekojolea qur an kakosea na walioharibu makanisa wamekosea" redio iman wanalalamika.inamaana walitaka aseme aliekojolea kakosea walochoma makanisa sahihi!hii vipi hii?
 
nyerere alifanya kosa kubwa sana kutaifisha shule na kuruhusu waislam tupate elimu dunia,mana zile za wamishen tuligoma kwa kupinga kula mdudu mchafu nguruwe,wanaosema kizaz hiki waislam hatuna shule ukweli wanaujua mioyon mwao,
waziri kighoma ali malima,marehemu mungu amlaze mahala pema pepon alicheza kama pele kwa kuingiza examination numbers system NECTA Kua mfumo rasmi kipind kile had saiz tunanufaika nao,lasivo wangeendelea kutukata kama walivokazoea zama hzo,wakiona dullah ana div one wana mkatilia mbali,kuendelea kuimba kwaya had leo kua waislam hatuna shule,ni kama kutoa kilio cha samaki tuh,tumesoma bila kukaririri,watoto hatuachi kuwapeleka madrasa kama kawa wakale ubwabwa kama mnavokejeli,lkn elimu dunia tunawajaza kisawa sawa na tunaenda sawa kabisa na hilo,tunajivunia kua waislam zaid ya kitu chchte maishan mwetu,na tutaipigania dini hii kwa gharama yyte ile ikibid hata uhai wetu,kwan tunaamin kuna maisha baada ya hapa,na njia pekee ya kuyafikia ni uislam na qur an ni mwongzo husika,kwanin iko kitoto kikojeleee qur an yetu??
hakijafunzwa maadili na wazaz pamoja na viongoz wake wa dini??
choko choko mwazianza nyie,tukireact mwakimbilia polisi,,nchi hii yetu sote..
:A S 101::A S 101:

Umesema hicho kitoto sawa kabisa na mtoto akifanya mambo ya kitoto anaambiwa hajakua na anafundishwa ile aelewe. je mtu mzima unamkata mtoto mkono au kunkata shingo kwa vile amekosea? Unachoma magari na makanisa kwa sababu ya ujinga na utoto wa mtoto? Hapo anafundishwa ama tunapandikiza chuki ya kudumu? Busara iko wapi?
 
mi niwapeni ushauri wa bure, sidhani kama nia ya mleta uzi ilikuwa nani zaidi kati ya uislam au ukristu, mi niwaombe jaribuni kujenga hoja kuelimishana kwa upendo bila kujali anayechangia ni wa dini gani. Mi kwa maoni yangu tukiendelea hivi hatutafika vita ya udini hatuhitaji kwani vita ya umasikini wetu inatutosha. Na muwaonee huruma viongozi wetu kwani hawana uwezo wa kutatua matatizo ya udini. Wameshindwa kutatua matatizo ya muungano, mahakama ya kadhi sembuse ya udini watayaweza. Kuweni na busara zaidi kuliko kukoleza mgogoro huu. Watu wengi wameshasema kitendo cha mtoto kukojolea quran ni kola la kitoto kwa kuwa chanzo ni utoto wao, lakini hilo si sababu ya kuchoma makanisa hata kidogo. Makanisa hayakumtuma mtoto huyo kufanya alichokifanya, pili tayari alikuwa mikononi mwa vyombo vya dola, waislam wenye busara na elimu walipaswa kufuatilia na kutoa ushaidi sehemu husika ili hatua stahiki siweze kuchukuliwa lakini si hatua walizochukua. Wakristu nao wakiamua kuchoma miskiti hii nchi haitakalika. Miskiti wala makanisa hapatasalika tena. Kwa hito nafikiri utaifa wetu unapaswa kuwa mbele zaidi kwani ndio unaotupa fursa ya kuingia makanisani na miskitini kufanya swala. Sisi tunaona amani ya tanzania la kwanza mengine baadae. Lakini niwakumbushe wale wenzangu wenye ufinyu wa kufikiri kuwa kwa tatizo kama hili suluhisho haliwezi kuwa uchomaji wa makanisa. Kwa mfano wamepata nini baada ya kuchoma na kuharibu makanisa. Violence is not a solution to problems., let us believe in table negotiations. Kwa maana nyingine wakristu wangeamua kuchoma miskiti tatizo lingekuwa kubwa zaidi. Busara na kuvumiliana vinahitajika sana kwenye taifa lenye imani mbili tofauti ni muhimu sana. Mfano waislam walichoma makanisa miezi michache kule zanzibar kwa madai ya kupinga muungano lakini walionyesha busara sana hawakufanya chochote. Sasa kuna uhusiano gani kati ya ukristu na muungano ndo maana sisi waislam tunaonekana washari hatuna elimu hatuwezi kuanalyse vitu rahisi kama hivi. Mwisho watanzania ili tubaki salama pande zote tuache propaganda za udini nchi yetu bado tunaipenda na tunataka iendelee kuwa ya mfano kwa miaka mingi ijayo< binafsi siaona sababu ya kutupeleka kote huko kwa sasa. Mungu ibariki tanzania yetu. Ameni
kweli umeongea vizuri.suala la msingi ni good will miongoni mwetu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom