Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Hivi inawezekana kabisa mtoto miaka 14 akakojolea kitabu cha dini wachilia mbali Qur'an hata ikiwa Biblia?
Je mtoto huo amewahi kukojolea vitabu vyake vya shule au vya mwanafunzi mwenzake?
Kwanini mtoto huyo akojolee Qur'an na isiwe vitabu vya skuli au Bible.
pasi na shaka kuna namna hapo.
Ni vizuri Serikali yeu iangalie chanzo kwanza kabla kurukia huko wanakokwenda. Kumbukeni hilo ni suala la kiimani bila busara mengi yatatokea.
Kumbukeni Qur'an haipo Tanzania tu bali ipo duniya nzima. nahofia sana yasije yakawa kama yale ya filamu ya kumkashifu Rasul Mohammad S.A.W na balozi ya nchi ile.
Kuweni makini sana mnaposhughulikia mambo ya kiimani kama haya.
Je mtoto huo amewahi kukojolea vitabu vyake vya shule au vya mwanafunzi mwenzake?
Kwanini mtoto huyo akojolee Qur'an na isiwe vitabu vya skuli au Bible.
pasi na shaka kuna namna hapo.
Ni vizuri Serikali yeu iangalie chanzo kwanza kabla kurukia huko wanakokwenda. Kumbukeni hilo ni suala la kiimani bila busara mengi yatatokea.
Kumbukeni Qur'an haipo Tanzania tu bali ipo duniya nzima. nahofia sana yasije yakawa kama yale ya filamu ya kumkashifu Rasul Mohammad S.A.W na balozi ya nchi ile.
Kuweni makini sana mnaposhughulikia mambo ya kiimani kama haya.