Nasikiliza radio imani sasa hivi, wanaongelea kuhusu kukojolewa kwa quran na kuchomwa kwa makanisa.
Wanasema polisi wanatumia kodi za wananchi kuwadhibiti badala ya kuangalia chanzo.
Pia wanasema Mzee mkubwa (Raisi) ameenda kujipendekeza kwa kutembelea makanisa yaliyochomwa. Kwao hili limewakera sana.
my take Serikali ianataka ushahidi gani juu ya uchochezi huu kuifungia radio hii?
Naungana na wewe nadhani ujinga wetu wa kupewa fulana na vitenge umejulikana kuwa haupo tena na ndo maana ujinga wa makundi jinga unatumika leo kutugawa,lakini naamini imani bila upendo,bila utashi ni ushetani tena ushetani mbaya kuliko shetani huyo tunayeambiwa na misaafuWakristo na Waislam wote ni watanzania. Vurugu zitatufikisha wapi? Watoto ni wetu wote iweje tunashindwa kuwalea? Watoto watusababishie shida yote hii na hasara yote kwa nini? Wakristo tuendelee na tabia ya kutopenda fujo. Wanaoendeleza fujo shauri yao. Yako mambo mengi ya kufanya kuendeleza famila zetu na taifa letu tuzingatie hayo. Vurugu hazitufikishi popote.
Unalalamika tu, hebu angalia mada iliyopo na haya unayoyasema mbona ni vitu viwili tofauti kabisa? au zimechanganya kidogo?Kwa nini muonewe nyie tu miaka yote? Kwa nini hamna shukrani hata kwa mambo yanayoonekana hata kwa macho.
Kwa nini mnalalamika sana kana kwamba nchi hii ina dini mbili tu? huo uchochezi ni kwa faida ya nani na mmetumwa na nani? mbona wenzenu (siyo Wakristu) hawalalamiki kwamba walinyimwa haki? Na mbona tayari tanzania imekuwa na marais wawili waislam bila Wakristu kulalamika kwamba wamenyimwa hiki au kile? Hayo mnayoyafanya mmetumwa na nani?
Bado sidhani kama ni amani gani ulinayo ndani ya uislam wako, kama unaweza kulipa kodi yako watu wakachukua na kugawia makanisa wewe ukitaka fursa hizo unaambiwa mdini au unaambiwa katiba haisemi hivyo je una amani wewe? kama watoto wako wanaweza kufelishwa kwa makusudi tena mtihani wa kiislamu je hii mitihani mingine hali ikoje? hapo unasema unafanya ibada gani au ya kuswalix2, kwa taarifa yako kukamilika kwa ibada siyo kuswalix2 tu, bali ni pamoja na kusimamia haki inakuwepo, mfano mzuri ni shule ya ndanda wanafunzi wa kiislam walifukuzwa shule kisa wanadai tu sehemu ya kufanyia ibada Je! hii ndo amani unayoiona machoni mwako? hakika wewe ni kipofu, achilia mbali hayo bado waislam makazini wamekuwa wakinyanyaswa, hata kama ni mchapakazi kiasi gani na elimu gani vyeo wanapewa waox2 tu. hii ndo amani unayosema. sikiliza nikwambie hiyo unayoongea ni nadharia lkn wenzako wanatenda kwa vitendo na wenye jicho hai kama kina ponda na kina Issa wanayaona haya. uonevu huu hauna amani ndani yake lkn kwenye maneno tu. ushauri, waambie wenziwe waache kunyanyasa waislamu nchi hii ni ya wote, na kumbuka haki ya mtu haiombwi bali inachukuliwa tu.nina wasiwasi na elimu yako, na kama unahisi kwamba uchochezi ndo dini ya mwenyezi mungu inataka hivo kweli wewe ni mlevi wa dini, kwa taarifa yako hicho kinachofanywa na hao akina ponda na mohamed issa ni maasi dhidi ya dini ya mwenyezi mungu. Hivi unajua maana ya uislamu? Nyinyi ni miongoni mwa watu mnaouharibu uislamu mbele ya walimwengu. Je amani ikishatoweka tanzania je utamcha mwenyezi mungu kama ipasavyo?. Tumia akili usidanganywe na akina ponda waliotaka kumng'oa mufti, kwa sababu ya kizembe tu. Ningekuwa rais ningeshafunga hii redio mapema. Jifanye wewe ni muislamu safi kuliko wengine kwa uovu wako huo!
Kwa hiyo, mkristo jambazi akiiba kwa mwiislam,waislamu makanisa? Jambazi muislam akiiba kwa mkristo, wakristo wajue katumwa na waislam?sio kweli makosa yenu hamyaoni?, bila kijana huyo kukojolea quran mengne yasingetokea. Hatuungi mkono kuchomwa makanisa lakin tunashangaa mnapuuzia alichokifanya kijana wenu na mnakiona ni sawa
Tukirudi huko tunaona kabisa kwamba waislam walitega kwa hila kama wafanyavyo huko pakistani kwa wakristu wachache waliopo huko.Pili huyo kijana wa kiislam kwanini alileta hiyo quran kuishindanisha?Ili ambadili dini dogo wa watu wenye fikra pevu mwenye kutaka vitu scientific?Dogo kaonyesha kuwa hakuna kitu katk quran in terms of miracles.Hata hamkufurahi kuwa dogo kawafungua macho? Haswa wewe ambayo hujafikiri nje ya boksi na kujiuliza kamakweli Uislam una ukweli wowote achilia mbali makanisa yanahusikaje?sio kweli makosa yenu hamyaoni?, bila kijana huyo kukojolea quran mengne yasingetokea. Hatuungi mkono kuchomwa makanisa lakin tunashangaa mnapuuzia alichokifanya kijana wenu na mnakiona ni sawa
Tukirudi huko tunaona kabisa kwamba waislam walitega kwa hila kama wafanyavyo huko pakistani kwa wakristu wachache waliopo huko.Pili huyo kijana wa kiislam kwanini alileta hiyo quran kuishindanisha?Ili ambadili dini dogo wa watu wenye fikra pevu mwenye kutaka vitu scientific?Dogo kaonyesha kuwa hakuna kitu katk quran in terms of miracles.Hata hamkufurahi kuwa dogo kawafungua macho? Haswa wewe ambayo hujafikiri nje ya boksi na kujiuliza kamakweli Uislam una ukweli wowote achilia mbali makanisa yanahusikaje?
Redio Imaan ndiyo mkombozi wetu zipo radio zingine sita mwezi wa 12 nazo zitakuwa hewani.
Angalia matokeo ya tafiti mbalimbali zote zina majibu kuwa kipaumbele kiwe ELIMU kwa hawa ndugu zetu!! Huwezi kumtumia mtu aliyeelimika na kujiamini!!
So, why are Muslims so powerless?*
Answer: **Lack of education**.*
All we do is shouting to Allah the whole day!!! And blame everyone else for our multiple failures!!!!!
============================== =
*Muslims are not happy*
*They're not happy in Gaza *
*They're not happy in Egypt *
*They're not happy in Libya *
*They're not happy in Morocco *
*They're not happy in Iran *
*They're not happy in Iraq *
*They're not happy in Yemen *
*They're not happy in Afghanistan *
*They're not happy in Pakistan *
*They're not happy in Syria *
*They're not happy in Lebanon *
*So, where are they happy?*
*They're happy in Australia *
*They're happy in England *
*They're happy in France *
*They're happy in Italy *
*They're happy in Germany *
*They're happy in Sweden *
*They're happy in the USA & Canada *
*They're happy in Norway *
*They're happy in almost every country that is not Islamic!*
*And who do they blame?*
*Not Islam...*
*Not their leadership...*
*Not themselves...*
*THEY BLAME THE COUNTRIES THEY ARE HAPPY IN*
*And they want to change the countries they're happy in,* *to be like the countries they came from,* *where they were unhappy.*
*Try to find logic in that!*
*Jeff Foxworthy on Muslims: *
*1. If you refine heroin for a living, but you have a moral objection to liquor, *
*you are a Muslim. ** *
*2. If you own a $3,000 machine gun and $5,000 rocket launcher, but you can't afford shoes,*
*You are a Muslim*
*3. If you have more wives than teeth,*
*You are a Muslim*
*4. If you wipe your butt with your bare hand, but consider bacon unclean.*
*You are a Muslim.*
*5. If you think vests come in two styles: bullet-proof and suicide,*
*You are a Muslim.*
*6. If you can't think of anyone you haven't declared Jihad against.*
*You are a Muslim. ** *
*7. If you consider television dangerous, but routinely carry explosives in your clothing,*
*You are a Muslim. ** *
*8. If you were amazed to discover that cell phones have uses other than setting off roadside bombs,*
*You are a Muslim.*
*9. If you have nothing against women and think every man should own at least four,*
*You are a Muslim.*