marksalewi
Member
- Apr 7, 2012
- 96
- 25
Nasikiliza radio imani sasa hivi, wanaongelea kuhusu kukojolewa kwa quran na kuchomwa kwa makanisa.
Wanasema polisi wanatumia kodi za wananchi kuwadhibiti badala ya kuangalia chanzo.
Pia wanasema Mzee mkubwa (Raisi) ameenda kujipendekeza kwa kutembelea makanisa yaliyochomwa. Kwao hili limewakera sana.
my take Serikali ianataka ushahidi gani juu ya uchochezi huu kuifungia radio hii?
Wanasema polisi wanatumia kodi za wananchi kuwadhibiti badala ya kuangalia chanzo.
Pia wanasema Mzee mkubwa (Raisi) ameenda kujipendekeza kwa kutembelea makanisa yaliyochomwa. Kwao hili limewakera sana.
my take Serikali ianataka ushahidi gani juu ya uchochezi huu kuifungia radio hii?