Borakufa
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 1,503
- 390
Clouds wanafiki, hawajiamini wanauma Kwa magamba wapo, wanajiita peoples station mbona wanapinga peoples power??????????????????? hasa Kibonde, huyu jamaa kila kitu anajifanya anajua, wadau nipeni cv yake........
Kasomea chuo kikuu cha U mc huko mabibo Mikorosheni na ana degree ya chekecheo aliyoipata katika chuo kimoja huko kimanzichana