...oyaaaa! mbona wengi tu bado wanasema daraja la 'salenda briji', au barabara ya morogoro 'rodi', au ukumbi wa Diamond jubilee 'hall', nk nk nk...
acheni 'wakiswanglish' wanavyotaka kama my -waifu wangu anavyosema.
Au chama cha 'Tanzania Labour Party'