Unko T
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 200
- 266
Wajua tena sisi mwezi huu tunakwenda nyumbani kwa ajili ya kukutana na familia zetu.
Juzi Nilipokuwa Dar nilikuwa nasikia matangazo Radio 5 FM...91.3 Dar kuwa Diamond atakiwasha Geneva of Africa tarehe 08-12-2015. Na nikasikia interview ya Kitale na akapost Instagram.
Sasa jana nafika hapa home Boma Ng'ombe naweka 105.7 ������������ Sisikii kitu juu ya Diamond Platinumz.
Nikauliza kulikoni, naambiwa radio 5 haipigi tena matangazo ya Diamond Platinumz.
Sasa sijui na shoo imefutwa au bado ipo?
Nimetuma ujumbe mfupi kwa radio hiyo, sijajibiwa.
Ningekuwa nasikia radio nyingine ya Arusha nje ya Arusha ningeuliza maswali haya ila sina njia mbadala.
Wana-Jamvi naomba kujuzwa nini kimetokea kati ya ndugu Naseeb Abdul na Radio 5 FM
Juzi Nilipokuwa Dar nilikuwa nasikia matangazo Radio 5 FM...91.3 Dar kuwa Diamond atakiwasha Geneva of Africa tarehe 08-12-2015. Na nikasikia interview ya Kitale na akapost Instagram.
Sasa jana nafika hapa home Boma Ng'ombe naweka 105.7 ������������ Sisikii kitu juu ya Diamond Platinumz.
Nikauliza kulikoni, naambiwa radio 5 haipigi tena matangazo ya Diamond Platinumz.
Sasa sijui na shoo imefutwa au bado ipo?
Nimetuma ujumbe mfupi kwa radio hiyo, sijajibiwa.
Ningekuwa nasikia radio nyingine ya Arusha nje ya Arusha ningeuliza maswali haya ila sina njia mbadala.
Wana-Jamvi naomba kujuzwa nini kimetokea kati ya ndugu Naseeb Abdul na Radio 5 FM