kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,750
- 594
Hii wiki ya pili
na nadhani mnajua kama BAE SYSTEMS wanataka ma bilioni kuja kuifanyia
marekebisho
uzuri rada tuliuziwa na wawekezaji ambao tunawapenda na tunawaona sio
matapeli (wazungu)
Ingekuwa tumeuziwa na Waarabu naona kungekuwa kunawaka moto sasa
Kazi kwenu na nchi yenu ya kufikirika
Najua uwanja wa ndege umebadilishwa jina lakini silipendi kulitumia hiyo
jina kipya linantia kichefu chefu na naomba uamuzi wangu
uheshimiwe
jina la baba wa taifa linakuchefua?????