Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Heshima kwenu wendawazimu wenzangu wanaJF..
Ndugu, nimelazimika kutumia lugha kali dhidi yangu kwa kujiona ni mwendawazimu (sijui mtakubaliana nami au la,)..kuwa Tanganyika yetu siku za usoni imekuwa kama kichaka( yeyote aweza kujisaidia na kuondoka akijua kimba halitomnukia,bali ajae nyuma yake,) au pango la wahuni ambapo linatawaliwa na sheria za usanii yaani UJANJA KUWAHI NA KUPATA..
Ndiyo humu jamvini tmekuwa tukijadili yale yale hasa hili la RICHMOND/DOWANS na hadithi ya nani mmiliki..
Nikweli tunahaki ya kujadili kwa uchungu kabisa,kwakuwa ni jambo la kipumbavu,lisiloingia akilini,Serikali kumlipa mtu asiyejulikana (HOJA ZETU) 185 bilions..
Ndugu zangu , nikweli mtu aliyepo nje ya ngoma hii, anaweza kutushangaa watanganyika, lakini jibu ni rahisi tu..
HIVI NI NANI ASIYEJUA UHUSIANO WA RA,EL NA RICHMOND? JE RICHMOND SI DOWANS?
IF RICHMOND=RA,EL, AND RICHMOND= DOWANS,,,JE KWA LOGIC HII HII, DOWANS=RA,EL?
Je misingi ya kuumia na kughadhabika juu ya nani anayelipwa hizo 185billion iko wapi? je Ni kwasababu serikali ya kikwete ipo kimya? au tunamuonea wivu RA,EL?
aCHENI WIVU ZENU....je, ni nani asiyejua kuwa RA alichangia ki-rasilimali kikwete kuingia Ikulu 2005? je mnategemea iko siku kikwete atathubutu kumgusa au kugusa maslahi yoyote ya RA? never??????????????????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!....
kwa mantiki hii, kwa jambo hili la DOWANS au ni vema kukaa kimya, au kuingia mtaani kuonesha ghadhabu waziwazi....
Naomba kuwasilisha..
Ndugu, nimelazimika kutumia lugha kali dhidi yangu kwa kujiona ni mwendawazimu (sijui mtakubaliana nami au la,)..kuwa Tanganyika yetu siku za usoni imekuwa kama kichaka( yeyote aweza kujisaidia na kuondoka akijua kimba halitomnukia,bali ajae nyuma yake,) au pango la wahuni ambapo linatawaliwa na sheria za usanii yaani UJANJA KUWAHI NA KUPATA..
Ndiyo humu jamvini tmekuwa tukijadili yale yale hasa hili la RICHMOND/DOWANS na hadithi ya nani mmiliki..
Nikweli tunahaki ya kujadili kwa uchungu kabisa,kwakuwa ni jambo la kipumbavu,lisiloingia akilini,Serikali kumlipa mtu asiyejulikana (HOJA ZETU) 185 bilions..
Ndugu zangu , nikweli mtu aliyepo nje ya ngoma hii, anaweza kutushangaa watanganyika, lakini jibu ni rahisi tu..
HIVI NI NANI ASIYEJUA UHUSIANO WA RA,EL NA RICHMOND? JE RICHMOND SI DOWANS?
IF RICHMOND=RA,EL, AND RICHMOND= DOWANS,,,JE KWA LOGIC HII HII, DOWANS=RA,EL?
Je misingi ya kuumia na kughadhabika juu ya nani anayelipwa hizo 185billion iko wapi? je Ni kwasababu serikali ya kikwete ipo kimya? au tunamuonea wivu RA,EL?
aCHENI WIVU ZENU....je, ni nani asiyejua kuwa RA alichangia ki-rasilimali kikwete kuingia Ikulu 2005? je mnategemea iko siku kikwete atathubutu kumgusa au kugusa maslahi yoyote ya RA? never??????????????????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!....
kwa mantiki hii, kwa jambo hili la DOWANS au ni vema kukaa kimya, au kuingia mtaani kuonesha ghadhabu waziwazi....
Naomba kuwasilisha..