RA kaingia kanda ya Ziwa Usiku huu

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Nikiwa uwanja wa JKN mchana wa leo nimeonana na RA akiwa amevaa shati jeupe la mikono mifupi na jeans .Alikuwa na simu kibao anaranda randa kwenye lounge angojea ndege ya Mwanza ambayo ilikuwa inapitia Musoma kwanza .Ndege kama kawaida ya Precision air ilichelewa kuondoka na jamaa akawa anapiga simu hovyo anasema kuna ucheleweshaji huo na alikuwa so confused .Sasa sijui kama ni huo uzinduzi wa kesho umempa ugumu au ni kitu gani ila kweli jamaa alionekana so stressed .
 
Aende Igunga kufanya nini. Alishasema hataki siasa uchwara. Hapo ndo magamba watajua janja ya nyani kula hindi bichi
 
hana ujanja wa kukataa kukipigia debe ccm

Naungana na maneno yako .RA hana ujanja kabisa na naamini anaishi kwa wasi wasi maana hajui lini nguvu ya umma inaweza kupelekea yeye kusimama kizimbani so kucha kusimama jukwaani hakika yatakuwa maafa kwake
 
Picha ziko wapi wewe mbona habari za Magwanda mnazipamba kwa mapicha kibao? Acheni unafiki
 
Huyo lazima ataibukia Igunga tu, mimi nasubiri tu matokeo ya Igunga ndio nipime kiwango cha uelewa wana Igunga.
 
Mkuu mbona hujatugongea ng'eng'e
<br />
<br />
Nimeona vilaza wamenigeuza dictionary. Eti kuna li-mbumbumbu moja limeni-pm nilitafsirie kwa kiingereza maana ya 'uchaguzi mdogo' eti linataka kupost thread kwa kiingereza inayosema 'Chadema watashinda uchaguzi mdogo wa Igunga'
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Nimeona vilaza wamenigeuza dictionary. Eti kuna li-mbumbumbu moja limeni-pm nilitafsirie kwa kiingereza maana ya 'uchaguzi mdogo' eti linataka kupost thread kwa kiingereza inayosema 'Chadema watashinda uchaguzi mdogo wa Igunga'
<br />
<br />

Haha haha haha you made my day....!
 
<br />
<br />
Nimeona vilaza wamenigeuza dictionary. Eti kuna li-mbumbumbu moja limeni-pm nilitafsirie kwa kiingereza maana ya 'uchaguzi mdogo' eti linataka kupost thread kwa kiingereza inayosema 'Chadema watashinda uchaguzi mdogo wa Igunga'

Unafki ni kitu kibaya sana, yaani wewe ndio unaejisifu unajuwa English!,........ na huyu ni nani anaeomba atafsriwe English hiyo hiyo?


user-online.png
Mwita25

7th September 2011 15:32
#1
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 15th April 2011
Posts : 830
Rep Power : 22



icon1.png
Rep power ndiyo nini?


Profaili yangu inaniambia nina rep power 22. Hii ina maana gani hasa?​
 
<b><br />
Unafki ni kitu kibaya sana, yaani wewe ndio unaejisifu unajuwa English!,........ na huyu ni nani anaeomba atafsriwe English hiyo hiyo?</b><br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/statusicon/user-online.png" border="0" alt="" /> <a href="https://www.jamiiforums.com/members/mwita25.html" target="_blank"><b>Mwita25</b></a> <br />
<br />
7th September 2011 15:32 <br />
#1 <a href="https://www.jamiiforums.com/report.php?p=2462484" target="_blank"> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/buttons/report-40b.png" border="0" alt="" /> </a> <br />
<a href="https://www.jamiiforums.com/members/mwita25.html" target="_blank"> <img src="https://www.jamiiforums.com/customavatars/avatar41972_2.gif" border="0" alt="" /> </a> JF Senior Expert Member <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_pos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_pos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_pos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_pos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_pos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_highpos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_highpos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_highpos.png" border="0" alt="" /> <br />
<br />
<br />
Join Date : 15th April 2011<br />
Posts : 830<br />
Rep Power : 22<br />
<br />
<br />
<br />
<b><img src="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png" border="0" alt="" /> Rep power ndiyo nini?</b><br />
<div style="margin-left:40px"> Profaili yangu inaniambia nina rep power 22. Hii ina maana gani hasa? </div>
<br />
<br />
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Nimeona vilaza wamenigeuza dictionary. Eti kuna li-mbumbumbu moja limeni-pm nilitafsirie kwa kiingereza maana ya 'uchaguzi mdogo' eti linataka kupost thread kwa kiingereza inayosema 'Chadema watashinda uchaguzi mdogo wa Igunga'
<br />
<br />
ha ha ha ha haaaa we Mwita wewe! Una mambo sana wewe
 
Nikiwa uwanja wa JKN mchana wa leo nimeonana na RA akiwa amevaa shati jeupe la mikono mifupi na jeans .Alikuwa na simu kibao anaranda randa kwenye lounge angojea ndege ya Mwanza ambayo ilikuwa inapitia Musoma kwanza .Ndege kama kawaida ya Precision air ilichelewa kuondoka na jamaa akawa anapiga simu hovyo anasema kuna ucheleweshaji huo na alikuwa so confused .Sasa sijui kama ni huo uzinduzi wa kesho umempa ugumu au ni kitu gani ila kweli jamaa alionekana so stressed .
Mbona ndege za kukodi zipo kwa dollar 2000 tu? mimi nadhani ana mambo yake binafsi kama angetaka kwenda Igunga nina uhakika angekodi charter plane ingempeleka.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Nimeona vilaza wamenigeuza dictionary. Eti kuna li-mbumbumbu moja limeni-pm nilitafsirie kwa kiingereza maana ya 'uchaguzi mdogo' eti linataka kupost thread kwa kiingereza inayosema 'Chadema watashinda uchaguzi mdogo wa Igunga'
<br />
<br />
Hii kali sasa, mkuu mbona unatudharau Chadema kiasi hicho?
 
<br />
<br />
ha ha ha ha haaaa we Mwita wewe! Una mambo sana wewe
Wajanja tukikuangalia tunabaki tunacheka tu,..........
Anyway nitadeal na wewe mimi mwenyewe personal ili Invisible aziunganishe pamoja ID zako, usishangae nimejuwaje hii ndio JF. Hapa tupo wataalam na sio makanjanja wa kujifanya kujuwa kuongea kiingereza.
 
ccm ni njoka, sawa! ROSTAM ni gamba, na halina ubishi. Mwinilisti Nape amehubiri sana, mwenyewe RA amekiri kuwa ni gamba kweli na akajivua.
**Kihistoria na kiuhalisia NJOKA halijawahi kurudia gamba lake kwa kujilinda au kwa kujihami! Je, inakuwaje leo ccm wanataka kulirudia gamba ambalo halina kazi tena?
 
Back
Top Bottom