R.Mengi for President?

Status
Not open for further replies.
Na kocha...Na mchelea Mwana...Mawazo yenu vipi?
Nani tumuendorse?
Kiongozi wa aina gani tunayemuhitaji?
 
I really hate to say this, but I think sometimes Mushi you try so hard to force an issue that you like and you are completely blinded with other factors that may affect your preposition.

I will tell you this, if Mengi was unable to control his male hormones and cheated on his wife of 30+ years what makes you believe he will not try to be crafty and deceive Watanzania?

Mengi was one of BOT-CIS debtors and after the announcement that BOT was going to publish the names, he rushed to pay off the outstanding debt (la miaka karibu 10) what sort of character do you get from someone like him? shouldnt we line him up with Mbowe on NSSF saga?

Do not try to portray the guy like a saint or clean, he is not. A "simple" thing as infidellity or adultery is serious enough!
 
I really hate to say this, but I think sometimes Mushi you try so hard to force an issue that yuo like and you are completely blinded with other factors that may affect your preposition.

I will tell you this, if Mengi was unable to control his male hormones and cheated on his wife of 30+ years what makes you believe he will not try to be crafty and deceive Watanzania?

Mengi was one of BOT-CIS debtors and after the announcement that BOT was going to publish the names, he rushed to pay off the outstanding debt (la miaka karibu 10) what sort of character do you get from someone like him? shouldnt we line him up with Mbowe on NSSF saga?

Do not try to portray the guy like a saint or clean, he is not. A "simple" thing as infidellity or adultery is serious enough!

Kashfa za adultery?
Huko hata tusiende!
Sasa na hao wazito wengine ambao wengineo ni wachungaji kama wewe kama kina Kilaini wakisema vinginevyo then tuwasikilize wao ama wewe?
I thought you was gonna come with the facts.

Halafu rev with all due respect usiwe unakuja tu na kuanza kushambulia watu eti i am trying too hard to force?!
Kwanini all the time unapenda kwenda nje ya mada na kuanza ku attack watu?
Hiyo tabia si safi kabisa rafiki yangu!
 
Umsichunguze kuku utashindwa kumla au better the devil you know than the devil you don't.....yupi bora?
 
Kashfa za adultery?
Huko hata tusiende!
Sasa na hao wazito wengine ambao wengineo ni wachungaji kama wewe kama kina Kilaini wakisema vinginevyo then tuwasikilize wao ama wewe?
I thought you was gonna come with the facts.

Halafu rev with all due respect usiwe unakuja tu na kuanza kushambulia watu eti i am trying too hard to force?!
Kwanini all the time unapenda kwenda nje ya mada na kuanza ku attack watu?
Hiyo tabia si safi kabisa rafiki yangu!

Hoja yako ni kuhusu Mengi, si kuhusu watu wa CCM, Wachungaji au Mashekhe! Hivyo nao hao ambao wanaudhaifu na wamefanya makosa watahukumiwa na kupimwa kwa mizani zao.

Unajua Mushi, Mpita Njia alitoa maoni yake, ukamjibu kwa kumshurtisha aje na mengine zaidi ya majibu hayo "mepesi". Ukawa king'anganizi kubisha yanayosemwa na kuyafanya ni ajizi za Kibuge!

Sasa kama ungeyapokea maoni yake na kuheshimu, sawa na maoni ya wengine humu ambao tayari walishasema Mengi hafai kuwa mwana siasa, then nisingekuasa kuwa acha kusokomezea hoja kwenye makoo na bongo za watu.

Umeshajenga taswira moja maarufu kubwa kuwa kama mtu akileta hoja inayopingana na wewe, basi unashupalia si kwa hoja bali kwa miguvu kuwa maoni ya wengine ni haba au batili na kuwa wote wanaopingana hoja nawe ni mafisadi au vibaraka wa Kikwete (nukuu kibao ziko kuhusiana na hili). Ndio maana hata Moelex alikuasa kwenye hoja moja kuwa hamko kwenye mawimbi ya frikwenti moja ,akakuomba samahani umuache kipekee!

Umempamba Mengi kama ni mtakatifu fulani ambaye ndiye bora kabisa.

Mimi nimekupa swali dogo sana, kama alikosa kuwa mwadilifu katika ndoa yake na kuanza kuchanja mbuga hata kabla ya kuachana rasmi na mkewe, je ni taswira gani hiyo?

Wewe ilitaka maoni, nimekupa facts. Mengi alizini (au alifanya uasherati) akiwa katika ndoa. Mengi alikimbia na kulipa deni la BOT kama sikosei ni February au March mwaka huu ili kuzima moto ambao ulikuwa umwakie kutokana na yeye "kufichua" madhambi ya vigogo wa Serikali!

Sasa kama anahaya matongotongo, na Mpita Njia anakuambia kuwa jamaa anafaa kuwa mfanya biashara lakini hana uwezo wa kuongoza watu, kwa nini usikae chini utulie ujiulize kama huyu uliyedhani ni "mtakatifu" ni kweli anafaa au ni bora utafute mwingine?

Je umesahau alichofanya Mengi kutaka kuzima hoja za kumchambua wakati ule wa Jambo Forum kuhusu sakata lake na Manji? Kama alithubutu kutaka toa chochote ili watu wasizungumze uchafu wake, je huyu anafaa kweli kuwa Raisi kwa nyakati hizi ambazo tunatafuta mtu bora baada ya kujifunza kwa makosa yetu?
 
Umsichunguze kuku utashindwa kumla au better the devil you know than the devil you don't.....yupi bora?

Mwanatanu,

Ukiletewa Kuku umchinje, umnyonyoe, utoe utumbo na kadhalika bado utakataa kumla?

Wito umesema, huyu anafaa sana, leteni "Dataz" kama FMES na Kuhani Mkuu wanavyosema.

Sasa Dataz zinapoanza kutoka, tunataka tuseme tusimchunguze tena Kuku?
 
Hoja yako ni kuhusu Mengi, si kuhusu watu wa CCM, Wachungaji au Mashekhe! Hivyo nao hao ambao wanaudhaifu na wamefanya makosa watahukumiwa na kupimwa kwa mizani zao.

Unajua Mushi, Mpita Njia alitoa maoni yake, ukamjibu kwa kumshurtisha aje na mengine zaidi ya majibu hayo "mepesi".

Sasa kama ungeyapokea maoni yake na kuheshimu, sawa na maoni ya wengine humu ambao tayari walishasema Mengi hafai kuwa mwana siasa, then nisingekuasa kuwa acha kusokomezea hoja kwenye makoo na bongo za watu.

Umeshajenga taswira moja maarufu kubwa kuwa kama mtu akileta hoja inayopingana na wewe, basi unashupalia si kwa hoja bali kwa miguvu kuwa maoni ya wengine ni haba au batili na kuwa wote wanaopingana hoja nawe ni mafisadi au vibaraka wa Kikwete (nukuu kibao ziko kuhusiana na hili). Ndio maana hata Moelex alikuasa kwenye hoja moja kuwa hamko kwenye mawimbi ya frikwenti moja ,akakuomba samahani umuache kipekee!

Umempamba Mengi kama ni mtakatifu fulani ambaye ndiye bora kabisa.

Mimi nimekupa swali dogo sana, kama alikosa kuwa mwadilifu katika ndoa yake na kuanza kuchanja mbuga hata kabla ya kuachana rasmi na mkewe, je ni taswira gani hiyo?

Wewe ilitaka maoni, nimekupa facts. Mengi alizini (au alifanya uasherati) akiwa katika ndoa. Mengi alikimbia na kulipa deni la BOT kama sikosei ni February au March mwaka huu ili kuzima moto ambao ulikuwa umwakie kutokana na yeye "kufichua" madhambi ya vigogo wa Serikali!

Sasa kama anahaya matongotongo, na Mpita Njia anakuambia kuwa jamaa anafaa kuwa mfanya biashara lakini hana uwezo wa kuongoza watu, kwa nini usikae chini utulie ujiulize kama huyu uliyedhani ni "mtakatifu" ni kweli anafaa au ni bora utafute mwingine?

Je umesahau alichofanya Mengi kutaka kuzima hoja za kumchambua wakati ule wa Jambo Forum kuhusu sakata lake na Manji? Kama alithubutu kutaka toa chochote ili watu wasizungumze uchafu wake, je huyu anafaa kweli kuwa Raisi kwa nyakati hizi ambazo tunatafuta mtu bora baada ya kujifunza kwa makosa yetu?

Maswali yangu makuu ambayo hakuna aliyenijibu zaidi ya kusema tu hafai kama vile mwalimu alivyokuwa akisema kuhusu viongozi asiowataka kwasababu zake yeye binafsi bila ya kuangalia matakwa ya wananchi...

1)Sifa za Kiongozi tunayemtaka vs sifa alizonazo R.Mengi

2)Ni nini hasa kipimo cha kiongozi mwenye kufaa kutupitisha kwenye hii transition period.

3)Sifa za kiongozi huyo mwenye kutufaa kwenye transition period vs sifa za R.Mengi.

4)Sifa za viongozi wengine wanaotarajiwa kurun vs za R.Mengi.

Hapo ndipo pale penye maana halisi ya Fair, Respectfull and Honest disscussion on this man.

Kama tukiendekeza chuki tu basi hata yale mema tuliyonayo moyoni hayatutoka bali chuki pamoja na matukano, na pia tuzitafakari fikra zetu dhidi ya wale waliotutendea mema kabla hata hawajawa Viongozi kwani kinyume na hapo ni utovu wa fadhila!
 
Nitakupa sifa za Mengi.

Ni mfanya Biashara mashuhuri.
Anajitolea kwa mambo mengi ya jamii.
Anapenda kuzungumzia masuala ya Mazingira.


Je anafaa kuwa Kiongozi wa nchi? Hapana hafai. Hana tofauti na wengine ambao wana walakini ambao wako katika vyama vya siasa Tanzania.

Je kuna mtu mwenye chuki na Mengi? Sijui na binafsi sina chuki naye. Nimeeleza ukweli ninaoufahamu kuhusu yeye na kuhoji kwa madhambi yake hayo mawili, tutategemeaje awe mtu bora kutuongoza iwe kwa kipindi cha mpito au kwa namna yeyote ile?

Suala la kuteleza nje ya ndoa, Waafrika na Watanzania hua tunaliona kama jambo dogo sana na jepesi. Ni kukosa uaminifu kwa mtu uliyekula naye kiapo kuishi pamoja milele mpaka kifo kiwatenganishe.

Unataka tuendelee makosa yale yale ya kuwapa Urais watu ambao tayari wameshafanya dosari katika viapo vingine walivyoapa na wakavivunja? Tulishakosea na Mwinyi, Mkapa na sasa Kikwete, bado huko Zanzibar wamekosea kwa Salmin na Karume, wewe unatuambia tuendelee kuamini watu ambao wameiba karanga kwa kuwa karanga ni kitu kidogo kuliko tikiti maji au mbuzi?
 
Mengi ni oppurtunist ambaye anataka kusikia kile kitu anachotaka kusikia tuu . Nani amesahau jinsi alivyotaka kuishutdown hii website pale watu walivyomzungumzia . Pili huyu mtu sio mkweli , gazeti lake la THISDAY limefanya kazi nzuri katika kukemea ufisadi lakini gazeti hilo hilo linaogopa kabisa kusema lolote watasubiri mpaka aondoke ndio waanze kuzungumzia.
 
mengi ni mfanyabiashara maarufu kama bakhresa vile.
ukiwatizama kijuu juu, wote wanasaidia jamii ya kitanzania katika mambo tofauti. tofauti yao kubwa ni kuwa mengi ameshikilia media, na ni rahisi mema yake kutangazwa kila kona ya tanzania na kwengineko duniani.

matatizo yao ya kodi au mikopo siijui, lakini Rev Kishoka ametupa mfano wa mengi aliyekuwa hajalipa madeni yya BOT mpaka alipofikiri atatangazwa akalipia.

jee wanafaa kuwa viongozi kwa nafasi ya uraisi?

hapana.....kwa sababu maadili ya uongozi yanakataza kufanya shughuli za kibiashara ukiwa ikulu, na mtu mwenye business empire kama Mengi, ni lazima kuendeleza biashara yake akiwa huko.

jee biashara zake hazitoathiri maamuzi yake ya serikalini?
kama mengi ni binaadamu wa kawaida kama mimi na wewe mushi, basi lazima ataendeleza biashara zake akiwa ikulu na zitaathiri kwa njia moja au nyengine maamuzi yake kwa mambo ya serikali.

ps, watu wenye dream ya kuiona tanzania ipo bila ya corruption ni wengi sana, na maneno hayo kwa watu maarufu hakuyaanza yeye, kakobe aliyasema mwaka 2000, na leo hii anakaa high table mikutano ya ccm.

dreams zinazungumzwa mara nyengine, kuwavutia watu wa chini tu na si vyenginevyo
 
Kishoka nafikiri umesahau mjadala ule niliouanzisha wa "Is Tazania Rich or Poor?"

Nilitumia kauli za Watu watatu.

Nao ni Muungwana, Dr Slaa pamoja na R.Mengi!

Nadhani unakumbuka kauli zao!

Muungwana:Tanzania ni masikini.

Dr Slaa:Tanzania ni tajiri

R.Mengi:Tanzania ni tajiri.

Sasa sijui kama tunataka viongozi wenye kutoa kauli zipi kati ya hizo hapo juu!

Kwa maoni yangu R.Mengi na Dr Slaa hawakuonyesha siasa kwenye kauli zao!

Muungwana yeye alifanya hivyo!
Why?

Maoni yangu ni kuwa yule anayesema sisi ni masikini hatuwezi kumuuliza kwanini hatuna maendeleo kwasababu tayari tunajua sisi ni masikini.....Na pia tumesha aminishwa na yeye kuwa sisi ni masikini na hivyo akija mtu na kusema tunaibiwa mali..Then wananchi wanajiuliza...Ni mali zipi hizo tunazoibiwa ilhali sisi ni masikini?


Where as...

Yule anayesema sisi ni matajiri yuko honest kwasababu anajaua kuwa atawajibika kutuonyesha kuwa ni kivipi sisi ni matajiri.

Hizo ndio fikra positive ambazo together with actions zitatuinua juu na kuwa taifa lenye nguvu na kujiamini zaidi ya sasa ambapo taratibu tunaelekea kuukubali utumwa kwa moyo wa unyenyekevu kwa mara nyingine tena kwenye historia ya mwanadamu!
 
mengi ni mfanyabiashara maarufu kama bakhresa vile.
ukiwatizama kijuu juu, wote wanasaidia jamii ya kitanzania katika mambo tofauti. tofauti yao kubwa ni kuwa mengi ameshikilia media, na ni rahisi mema yake kutangazwa kila kona ya tanzania na kwengineko duniani.

matatizo yao ya kodi au mikopo siijui, lakini Rev Kishoka ametupa mfano wa mengi aliyekuwa hajalipa madeni yya BOT mpaka alipofikiri atatangazwa akalipia.

jee wanafaa kuwa viongozi kwa nafasi ya uraisi?

hapana.....kwa sababu maadili ya uongozi yanakataza kufanya shughuli za kibiashara ukiwa ikulu, na mtu mwenye business empire kama Mengi, ni lazima kuendeleza biashara yake akiwa huko.

jee biashara zake hazitoathiri maamuzi yake ya serikalini?
kama mengi ni binaadamu wa kawaida kama mimi na wewe mushi, basi lazima ataendeleza biashara zake akiwa ikulu na zitaathiri kwa njia moja au nyengine maamuzi yake kwa mambo ya serikali.

ps, watu wenye dream ya kuiona tanzania ipo bila ya corruption ni wengi sana, na maneno hayo kwa watu maarufu hakuyaanza yeye, kakobe aliyasema mwaka 2000, na leo hii anakaa high table mikutano ya ccm.

dreams zinazungumzwa mara nyengine, kuwavutia watu wa chini tu na si vyenginevyo

Naomba tusiingize mapenzi binafsi ama kuleta upinzani wa kina Bakhressa na Manji.

This right here tunajaribu kuangalia qualifications bila kujali upinzani wa kibiashara ama masuala binafsi ambayo hayana maslahi na Taifa!

Na kama unafikri kuwa Bakhressa anafaa basi anzisha Thread na sisi tutakuja kuchangia na kusikiliza maoni.

Sisi Watanzania tumekuwa na shida moja kubwa ya kutokuangalia issues wakati wa kupiga kura na badala yake tumebakia kukalia politics za chuki, utengano wa kidini na kikabila!

Devide and rule this time is deemed failure!

We are a one Nation under same objectives...UFISADI and Poverty eradication!

And i think this man is the right man to lead us at such a defining moment in the history of our country!

Na pia tusisahau kuwa huyu bwana ana maadui wengi kupita kiasi kutokana na msimamo wake wa kupinga ufisadi na kuwaeleza waziwazi!

Tusisahau hilo na hivyo tuwe makini ili tusije kuangalia chuki peke yake na kusahahu mema!

Hakuna kiongozi utakayenitajia hapa ambaye ni perfect!

Tena wale tuliokuwa tukifikiri ndio perfect happened to be different!
 
Mengi kama anapigana na ufisadi aliifanya nini NBC. Halafu kwa nini alikuwa anaiibia matangazo Channel Ten wakati wa mashindano ya World Cup 2002 kitendo ambacho yeye mwenyewe mwaka 1994 alikuwa anakipinga. Tumwache afanye biashara zake basi. Kwenye siasa hana hicho kichwa na ndiyo maana hakawii kulialia kwenye TV kila anapoguguswa
 
Hoja yako ni kuhusu Mengi, si kuhusu watu wa CCM, Wachungaji au Mashekhe! Hivyo nao hao ambao wanaudhaifu na wamefanya makosa watahukumiwa na kupimwa kwa mizani zao.

Unajua Mushi, Mpita Njia alitoa maoni yake, ukamjibu kwa kumshurtisha aje na mengine zaidi ya majibu hayo "mepesi". Ukawa king'anganizi kubisha yanayosemwa na kuyafanya ni ajizi za Kibuge!

Sasa kama ungeyapokea maoni yake na kuheshimu, sawa na maoni ya wengine humu ambao tayari walishasema Mengi hafai kuwa mwana siasa, then nisingekuasa kuwa acha kusokomezea hoja kwenye makoo na bongo za watu.

Umeshajenga taswira moja maarufu kubwa kuwa kama mtu akileta hoja inayopingana na wewe, basi unashupalia si kwa hoja bali kwa miguvu kuwa maoni ya wengine ni haba au batili na kuwa wote wanaopingana hoja nawe ni mafisadi au vibaraka wa Kikwete (nukuu kibao ziko kuhusiana na hili). Ndio maana hata Moelex alikuasa kwenye hoja moja kuwa hamko kwenye mawimbi ya frikwenti moja ,akakuomba samahani umuache kipekee!

Umempamba Mengi kama ni mtakatifu fulani ambaye ndiye bora kabisa.

Mimi nimekupa swali dogo sana, kama alikosa kuwa mwadilifu katika ndoa yake na kuanza kuchanja mbuga hata kabla ya kuachana rasmi na mkewe, je ni taswira gani hiyo?

Wewe ilitaka maoni, nimekupa facts. Mengi alizini (au alifanya uasherati) akiwa katika ndoa. Mengi alikimbia na kulipa deni la BOT kama sikosei ni February au March mwaka huu ili kuzima moto ambao ulikuwa umwakie kutokana na yeye "kufichua" madhambi ya vigogo wa Serikali!

Sasa kama anahaya matongotongo, na Mpita Njia anakuambia kuwa jamaa anafaa kuwa mfanya biashara lakini hana uwezo wa kuongoza watu, kwa nini usikae chini utulie ujiulize kama huyu uliyedhani ni "mtakatifu" ni kweli anafaa au ni bora utafute mwingine?

Je umesahau alichofanya Mengi kutaka kuzima hoja za kumchambua wakati ule wa Jambo Forum kuhusu sakata lake na Manji? Kama alithubutu kutaka toa chochote ili watu wasizungumze uchafu wake, je huyu anafaa kweli kuwa Raisi kwa nyakati hizi ambazo tunatafuta mtu bora baada ya kujifunza kwa makosa yetu?

Kwa taarifa yako Mchungaji Methedeos Kilaini aki muendorse then sitasikiliza kauli za mchungaji wewe mwenye chuki!
Naomba uje tu na facts bila rhetorics zenye chuki!
Hizo mwachie Mnyama hatari na wenzake!
Tujaribu kuwa civilized hapa ili kui preserve hishma ya jei efu!
 
Mengi kama anapigana na ufisadi aliifanya nini NBC. Halafu kwa nini alikuwa anaiibia matangazo Channel Ten wakati wa mashindano ya World Cup 2002 kitendo ambacho yeye mwenyewe mwaka 1994 alikuwa anakipinga. Tumwache afanye biashara zake basi. Kwenye siasa hana hicho kichwa na ndiyo maana hakawii kulialia kwenye TV kila anapoguguswa

Mi nakwambia wenye kumchukia Mengi ni wachache sana na ana maadui wengi kibinafsi haswa haswa inapokuja kwenye business!Ila ana wanaompenda wengi zaidi ya hao maadui wenye chuki za kikabila na dini!
Ila kesi wakipelekewa wananchi na wao ndio wawe waamuzi..Then mtapata tabu forces za ufisadi!

Halafu mimi nawashangaa nyie kuwa out of touch!
Mengi akirun urais ndio mtajua ni mapenzi kiasi gani wananchi wakawaida waliyonayo kwa mtu huyu!
 
Ndugu zangu mimi sijasema kuwe tusizungumzie uchafu wa watu tunaowajadili kuwa viongozi wetu! La hasha!
Naomba nieleweke hapo!
Maana yangu halisi ni ili kutopoteza ile maana halisi ambayo ndugu zangu wameshindwa kuielewa..Nayo ni three words..Honest, Fair and Respectfull discussion on the man!
Nimeonelea binafsi hivyo kwasababu hatujawahi kufanya hivyo!
Na pia tukianza kutajana kwa machafu na wengine wakiendeleza na machafu ya wengine kuendelea kutajwa... Kuna atakayebaki kweli?
Nani huyo?
 
Kwa taarifa yako Mchungaji Methedeos Kilaini aki muendorse then sitasikiliza kauli za mchungaji wewe mwenye chuki!
Naomba uje tu na facts bila rhetorics zenye chuki!
Hizo mwachie Mnyama hatari na wenzake!
Tujaribu kuwa civilized hapa ili kui preserve hishma ya jei efu!

Askofu Kilaini alikuwa mmojawapo aliyesema Kikwete ni chaguo la Mungu bado unaendelea kuamini hivyo???
 
Mi nakwambia wenye kumchukia Mengi ni wachache sana na ana maadui wengi kibinafsi haswa haswa inapokuja kwenye business!Ila ana wanaompenda wengi zaidi ya hao maadui wenye chuki za kikabila na dini!
Ila kesi wakipelekewa wananchi na wao ndio wawe waamuzi..Then mtapata tabu forces za ufisadi!

Halafu mimi nawshangaa nyie kuwa out of touch!
Mengi akirun urais ndio mtajua ni mapenzi kiasi gani wananchi wakawaida waliyonayo kwa mtu huyu!

Mwambie achukue fomu za kugombea urais ndiyo atajua watanzania wangapi wanampenda. Maana hiyo ni haki yake. Lakini mwambie asilielie tu wakati wa kampeni maana hapo ndipo unapoweza kutofautisha boys from men in politics
 
Mwambie achukue fomu za kugombea urais ndiyo atajua watanzania wangapi wanampenda. Maana hiyo ni haki yake. Lakini mwambie asilielie tu wakati wa kampeni maana hapo ndipo unapoweza kutofautisha boys from men in politics

Wewe ndio huna habari na halafu sijui uko Tanzania ipi!
Nakwambia Mengi anapendwa na wananchi wengi wa kawaida masikini!
Anachukiwa na mafisadi wenye uwezo ambao ndio wenye kupambana naye na hata kutaka kumuua!
Ni mtu wa watu!
Watanzania hawawezi kumtupa!
Hapa ni jf na ni mjadala wetu sisi lakini hujui huu ni mjadala credible na watu wameshtukia kuwa chuki zitatukosesha Mengi na kuturudisha utumwani!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom