Kiarabu, Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea!
hiyo ni lugha ya kiarabu na kila muislam anapopata msiba anatakiwa aseme hivyo,na maana yake ni hakika sisi tumetoka kwake na kwake ni marejeo kwa muumba,nadhani mimekujibu.Wakuu naomba kujua hii ni lugha gani?