R.I.P. Dr. Remmy Ongara

Mungu ampokee kijana wake.
Mungu awafariji wafiwa na Watanzania wote
Aaamin.
 
wahusika tafadhali hii habari hebu itafutieni mahala husika.
Hili ni jukwaa la siasa na dakta hakuwahi kuwa hata katibu tarafa...
So toa hii hapa.
Nikihakikisha kuwa ni kweli basi pole zangu nitaziandika nitakapoikuta habari hii, lakini si hapa

aliwahi imba nyimbo za siasa, na ccm wakasema sio raia wa tanzania
 
RIP kizuri ni kuwa alimrudia Muumba wake...je wewe uko tayari....

remmy.jpg



remmy-ongala.jpg


Enzi za Ujana wake

dr+nani+huyu.jpg
 
RIP Dr Remmy,

Kwetu sisi tuliomwana akipanda hadi kilele cha mafanikio, hatutamsahau kamw huyu gwiji wa muziki. Ngoja nijaribu kukubuka baadhi ya nyimbo zake,

1. Narudi nyumbai...Ft Cosmas Chidumule
2. Hamisa..mtoto wa kigogo
3. Mwanza makoroboi (sina hakika kama ndio title yake)
5. Kilio cha samaki
6. Ukichua kucheza (sina hakika kama ndio title)
7.
8.
9.............

The guy was really talented...Nenda baba, kawasalimie wote waliotutangulia mbele za haki. Pia mshukuru sana Mungu kwani alikupa nafasi adimu ya kutubu dhambi zako ukiwa hapa duniani. Wengi huwa hawapewi hiyo nafasi..

Bwana alitoa, bwana ametwaa...!!

Dole, Fadhili ni utumwa, Amisa, Nalialia mwana,Penzi lawaua n.k
 
RIP Dr. Remmy Ongala. Nitakukumbuka daima maana muziki wako ulituchangamsha sana miaka ya 80 wengine tukiwa vijana na mpaka leo ninaposafiri lazima nipige nyimbo zako.

Wote tunakuja huko huko, tangulia mpiganaji.
 
Mkuu hata mimi nasubiri kwahamu hizi taarifa! MwanaVillage tafadhali naomba tuzibitishie hizi habari kama ni za kweli!

Mkuu labda bwana michuzi atakusaidia kwa hili....Ingia blog ya michuzi kuna taarifa zaidi au uende bongo celebrity..
 
Back
Top Bottom