wahusika tafadhali hii habari hebu itafutieni mahala husika.
Hili ni jukwaa la siasa na dakta hakuwahi kuwa hata katibu tarafa...
So toa hii hapa.
Nikihakikisha kuwa ni kweli basi pole zangu nitaziandika nitakapoikuta habari hii, lakini si hapa
Binafsi pia nimezisikia na tunahangaika kuthibitisha; tusubiri tutapata uhakika tu.
RIP Dr Remmy,
Kwetu sisi tuliomwana akipanda hadi kilele cha mafanikio, hatutamsahau kamw huyu gwiji wa muziki. Ngoja nijaribu kukubuka baadhi ya nyimbo zake,
1. Narudi nyumbai...Ft Cosmas Chidumule
2. Hamisa..mtoto wa kigogo
3. Mwanza makoroboi (sina hakika kama ndio title yake)
5. Kilio cha samaki
6. Ukichua kucheza (sina hakika kama ndio title)
7.
8.
9.............
The guy was really talented...Nenda baba, kawasalimie wote waliotutangulia mbele za haki. Pia mshukuru sana Mungu kwani alikupa nafasi adimu ya kutubu dhambi zako ukiwa hapa duniani. Wengi huwa hawapewi hiyo nafasi..
Bwana alitoa, bwana ametwaa...!!
Mkuu hata mimi nasubiri kwahamu hizi taarifa! MwanaVillage tafadhali naomba tuzibitishie hizi habari kama ni za kweli!
Mkuu labda bwana michuzi atakusaidia kwa hili....Ingia blog ya michuzi kuna taarifa zaidi au uende bongo celebrity..