Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Tusubiri tuone,tuache papara!!Mda ukifika tu!!
Kama una habari si uzitoe hapa. Mbona unaandika kimajungu?
Tusubiri tuone,tuache papara!!Mda ukifika tu!!
I think tunahitaji short course ya vitu muhimu vinavyohitaji katika any post ili kuondoa hili tatizo la ku issue post yenye incomplete info. Ukiona heading unafungua post haraka halafu unakutana na kitu cha ajabu.
kumbe wewe unakurupuka kufungua thread kutokana na kichwa chake eegh? haya wewe ni majungu tupu yanakusumbua, hebu uwe unafungua zote sio za ccm vs cdm tu mpuuzi kabisa wewe, leo umekomeshwa.