Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
"Jambo hili sasa nalielewa zaidi kuliko wakati mwingine wowote; hili suala wala halihusiani na dini bali na siasa zaidi katika kufikia malengo fulani fulani. Naamini maneno ya hawa jamaa yamekuja katika jitihada za kukifanya CCM kuwasikiliza. Endapo serikali ya CCM ikisema kuwa hakuna OIC wala Mahakama ya Kadha timu ya watu hawa hawa watageuka na kusema CCM ni chama kisichajli maslahi ya "Waislamu" kana kwamba ndani ya CCM wamejaa wakristu watupu!"
Mwanakijiji