Saleh Alli
Member
- Mar 12, 2012
- 8
- 0
Hv madada zangu ile hali ya kuwa na tumbo la period likiambatana na kuuma kwa kiuno inatokana na nini?
kwani mshipa wakati wa baridi hutokana na nini kweli?
ile noah pori...? mi hata sijui....
Wanawake wanao umwa sana siku ya siku zao wanakuwa watamu sana, afu we hata akikupa chance ya ku game naye, we usijali tumia condom umzamishie kitu ndani, uone anavyo zidi kukupenda :violin:
hi hi hi hi......mwenzenu anataka sababu.....nyie mnazidi kumchanganyia mizizi....
Hii hutokana na contraction ya uterus ili kutoa zile products za menses pamoja na ovum, sasa wengine contraction huwa strong kiasi kwamba inasababisha discomfort, kwa kawaida huwepo kwa kila mwanamke na huwa maumivu ya kawaida tu ambayo hayaathiri utendaji wa kazi. Pale yanapokuwa strong kiasi cha kuathiri utendaji wa kazi huitaji tiba na tiba yake ni diclofenac tabs 50mg mara tatu kutwa kwa siku tano. Unatakiwa kuanza kunywa siku mbili kabla ya hedhi na unapitiliza siku mbili baada ya kumaliza hedhi.
Wanawake wanao umwa sana siku ya siku zao wanakuwa watamu sana, afu we hata akikupa chance ya ku game naye, we usijali tumia condom umzamishie kitu ndani, uone anavyo zidi kukupenda :violin:
Peleka JF Doctor wanaweza kukusaidia kwa ushauri zaidi!
Preta nimempa sababu ya kumsaidia mchumba wake asione kiuno kinauma, aendelee kukizungusha tu hata kama yuko kwenye siku zake, wanasema dawa ya moto ni moto...kama yuko kweney siku zake na anaumwa kiuno amuingilie tu kwenye siku zake, afu mwambie akizungushe kiuno it's just exercise ya kuregeza kiuno, kisiwe kimebana mzunguko wa damu :cool2:hi hi hi hi......mwenzenu anataka sababu.....nyie mnazidi kumchanganyia mizizi....
Tena we wacha tu wanavyo zidi nimependa, si unajau tena mwanamke akiwa kwenye siku zake...mambo yanakuwa super kabisa, anakupa kila kitu unapo mtembelea kwenye ile siku yake...usimkoesee tu step, ukimpatia wapi pakumgusa kwenye siku zake...utaona zawadi unazo pewa :violin:Usisahau na mchumvini utasuuzika na roho yako!
....umeniwah.... Peleka kwa Jf D.
kwani mshipa wakati wa baridi hutokana na nini kweli?