Queen Fifi : Mtangazaji bora kabisa wa kike wa wakati huu!

Huwa nasema na nitaendelea kusema kuwa hawa ipp wanajua kuibua vipaji na wanajicho kali sana la kujua huyu mtu anaweza... huyo queen fifi nilipomsikia mara ya kwanza East africa radio niliwapa big up kubwa sana... pia kuna mdada anaitwa SUZI anatangaza e-news na kuna mwingine anaitwa SCOLA kisanga anatangaza E drive kwakweli katika swala la kujua watangazaji ipp ni namba moja.
 
Kwenye show za radio, haswa vipindi vya kizazi kipya kumekuwa na pengo kwa watangazaji wa kike wenye uwezo na vipaji vya kipekee. Hii imekuwa kwa muda mrefu .

Mtangazaji wa radio asiye kuwa na mfano Salama Jabir baada ya kutoka kwenye radio, kukawa na pengo kubwa sana kwa upande wa mabinti. Baada ya Salama kuacha kutangaza radio akaibuka Dj Fetty kujaribu kukaba ilo gap ambaye kwa kweli alijitahidi sana na alitendea haki mic na kuwa mtangazaji mzuri sana.

Baada ya Fetty kukaa pembeni na kuacha utangazaji.

Nimeona kitu kutoka kwa mtangazaji mgeni yupo anatangaza East Africa radio kipindi cha The Cruise. Huyu binti yupo sawa sawa mno, ana kipaji nimekisia sijaona kwa watangazaji wote wa kike baada ya Salama J. Nimemmsikiliza mara mbili ila nimeona kipaji na package isiyo ya kawaida.

Japo sijajua history yake alianzia kutangaza wapi! Naamini ni hazina kubwa imekuja kwenye tasnia ya burudani kwa ujumla.
Huyo binti alishawai kushiriki Bss hakika anajua kutangaza hatari.....kuna mwingine anatangaza E-NEWS nae yuko vizuri sana...
 
Huwa nasema na nitaendelea kusema kuwa hawa ipp wanajua kuibua vipaji na wanajicho kali sana la kujua huyu mtu anaweza... huyo queen fifi nilipomsikia mara ya kwanza East africa radio niliwapa big up kubwa sana... pia kuna mdada anaitwa SUZI anatangaza e-news na kuna mwingine anaitwa SCOLA kisanga anatangaza E drive kwakweli katika swala la kujua watangazaji ipp ni namba moja.
Umesema kweli tupu....
 
Hapo Clouds wazee wa kudokoa vikishaiva utasikia washanyakua masna Mamy na Dj Sinyorita walikuwa wanaanza kumpoteza Millard Ayo kutokana na vipindi vyao kuwa mda mmoja wakazani ndio wataua lakini saa hii Queen Fifi anawatesa tena hawapumui.
 
Kumbe ndio yule Frida wa BSS?
Binti mwenye swag za kutosha kutoka Arusha City.
Namkubali sana.
 
Back
Top Bottom