INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,255
hukomi tuNamtafuta Dj Sinyorita yuko wapi?mwenye noyake anipm
hukomi tuNamtafuta Dj Sinyorita yuko wapi?mwenye noyake anipm
nikome nini mkuu? ila nshampata mkuuhukomi tu
kweli ??nitumie picha yake ya mgongonikome nini mkuu? ila nshampata mkuu
Mbona sura ya kazikaziView attachment 405245huyu ndiye Frida Amani
Huyo binti alishawai kushiriki Bss hakika anajua kutangaza hatari.....kuna mwingine anatangaza E-NEWS nae yuko vizuri sana...Kwenye show za radio, haswa vipindi vya kizazi kipya kumekuwa na pengo kwa watangazaji wa kike wenye uwezo na vipaji vya kipekee. Hii imekuwa kwa muda mrefu .
Mtangazaji wa radio asiye kuwa na mfano Salama Jabir baada ya kutoka kwenye radio, kukawa na pengo kubwa sana kwa upande wa mabinti. Baada ya Salama kuacha kutangaza radio akaibuka Dj Fetty kujaribu kukaba ilo gap ambaye kwa kweli alijitahidi sana na alitendea haki mic na kuwa mtangazaji mzuri sana.
Baada ya Fetty kukaa pembeni na kuacha utangazaji.
Nimeona kitu kutoka kwa mtangazaji mgeni yupo anatangaza East Africa radio kipindi cha The Cruise. Huyu binti yupo sawa sawa mno, ana kipaji nimekisia sijaona kwa watangazaji wote wa kike baada ya Salama J. Nimemmsikiliza mara mbili ila nimeona kipaji na package isiyo ya kawaida.
Japo sijajua history yake alianzia kutangaza wapi! Naamini ni hazina kubwa imekuja kwenye tasnia ya burudani kwa ujumla.
MashaalllahMkuu unaona kwanini nataka no zake?View attachment 405369 View attachment 405371 View attachment 405372
Sasa ukiona wenye vinaavyoonekana itakuwaje!Mkuu mimi nimeona kitu ambacho wewe hujaona hapo
Umesema kweli tupu....Huwa nasema na nitaendelea kusema kuwa hawa ipp wanajua kuibua vipaji na wanajicho kali sana la kujua huyu mtu anaweza... huyo queen fifi nilipomsikia mara ya kwanza East africa radio niliwapa big up kubwa sana... pia kuna mdada anaitwa SUZI anatangaza e-news na kuna mwingine anaitwa SCOLA kisanga anatangaza E drive kwakweli katika swala la kujua watangazaji ipp ni namba moja.
Hajui mademu wakali huyu!Kapagawa na weupe ule
Mkuu hiki nimekiona mimi tu ndio maana nyie wazee wa chura hamuwezi onaSasa ukiona wenye vinaavyoonekana itakuwaje!
halafu huyu binti lugha inapanda vizuri?Umesema kweli tupu....
daaa jamaa wa ipp wanajua kuchagua watu wakutangazaHapo Clouds wazee wa kudokoa vikishaiva utasikia washanyakua masna Mamy na Dj Sinyorita walikuwa wanaanza kumpoteza Millard Ayo kutokana na vipindi vyao kuwa mda mmoja wakazani ndio wataua lakini saa hii Queen Fifi anawatesa tena hawapumui.