Queen Fifi : Mtangazaji bora kabisa wa kike wa wakati huu!

Kwenye show za radio, haswa vipindi vya kizazi kipya kumekuwa na pengo kwa watangazaji wa kike wenye uwezo na vipaji vya kipekee. Hii imekuwa kwa muda mrefu .

Mtangazaji wa radio asiye kuwa na mfano Salama Jabir baada ya kutoka kwenye radio, kukawa na pengo kubwa sana kwa upande wa mabinti. Baada ya Salama kuacha kutangaza radio akaibuka Dj Fetty kujaribu kukaba ilo gap ambaye kwa kweli alijitahidi sana na alitendea haki mic na kuwa mtangazaji mzuri sana.

Baada ya Fetty kukaa pembeni na kuacha utangazaji.

Nimeona kitu kutoka kwa mtangazaji mgeni yupo anatangaza East Africa radio kipindi cha The Cruise. Huyu binti yupo sawa sawa mno, ana kipaji nimekisia sijaona kwa watangazaji wote wa kike baada ya Salama J. Nimemmsikiliza mara mbili ila nimeona kipaji na package isiyo ya kawaida.

Japo sijajua history yake alianzia kutangaza wapi! Naamini ni hazina kubwa imekuja kwenye tasnia ya burudani kwa ujumla.
hawa wachaga nani anawapa connection hv wanavyoipenda hii kazi wamejazana sana
 
Unataka kumkaza sinyorita?

Mkuu unaona kwanini nataka no zake?
14272158_178481665921912_1359948593_n.jpg
14288072_308822536149811_1764596726_n.jpg
14351005_1771769246444748_1973370557_n.jpg
 
Nami huyu ndiye mtangazaji wa kike anayenivutia kumckiliza. Kikubwa anachonivutia ni uchangamfu wake na alivyo bilingual,mwingine ninayemkubali kwa afrika mashariki ni rae wa home boys radio breakfast
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom