UTC Senior Member Jun 1, 2010 133 33 Dec 16, 2010 #41 ...baeleze wahariri wa magazeti ya bongo! Wao ishakuwa kawaida kupindua ukweli...wakati mwingien wakidakia maneno hovyo hovyo!
...baeleze wahariri wa magazeti ya bongo! Wao ishakuwa kawaida kupindua ukweli...wakati mwingien wakidakia maneno hovyo hovyo!
E emiliana hyera Member Mar 17, 2010 9 0 Dec 16, 2010 #42 duu kweli viongozi wa afrika ni noma kwa ung'ang'anizi, sasa wakipewa mbona hawatekelezi, achia ngazi:redfaces:
duu kweli viongozi wa afrika ni noma kwa ung'ang'anizi, sasa wakipewa mbona hawatekelezi, achia ngazi:redfaces:
Mesh2lover Member Dec 4, 2008 67 3 Dec 16, 2010 #43 Anaitwa Ouatarra... na sio Quatarra....... attention to details...
The Finest JF-Expert Member Jul 14, 2010 21,607 6,071 Dec 17, 2010 Thread starter #44 Mesh2lover said: Anaitwa Ouatarra... na sio Quatarra....... attention to details... Click to expand... Lakini si umeelewa
Mesh2lover said: Anaitwa Ouatarra... na sio Quatarra....... attention to details... Click to expand... Lakini si umeelewa