Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
no need mkubwaaa vp kwani ulitupia kozi gani nyngne
mimi nimeomba za biashara kote kaka.
no need mkubwaaa vp kwani ulitupia kozi gani nyngne
mimi nimeomba za biashara kote kaka.
Achana NAO
hivi wanazituma application kwenye vyuo kwanza au wanafanyaje?
IMPORTANT NOTES All Applicants who had already selected programs are advised to Login and View their application status. Login and click "My Profile" then click "View My Selection Status". Make necessary changes if any of your selected program is marked "NOT QUALIFIED".
source Weclome to TCU Central Admission Sytem, please Login
Jaman,hata mimi nilichagua udsm,sua,ardhi,mzumbe na udom.nimekuta za udom,ardhi na mzumbe nimeandikiwa not qualified,ila udsm na sua ambazo jumla yake ni facults 4 wameniandikia qualified.sasa nauliza,naweza nikaziacha kama zilivyo ili wakati wa kuchaguliwa nijue nachaguliwa kati ya udsm au sua?naombeni mawazo yenu.
Na je,kama hata hizo utakazo badilisha utakuwa not qualified,watakujulisha hapohapo ama?
Yap unabadirisha hamna shida. juct nenda katika selected programs then unaweza remove na ku add nyingine