Qatar airways: Home and dry in tanzania

Abdulhalim, sasa hivi QR wanakupa 2 pcs za 23 kgs total 46 kgs kama KLM. Kwa uhakiki gonga HAPA. Ndege inayoongoza kwa nauli za chini kupita kawaida kwa sasa ni Turkish Airline japo wao mzigo ni kilo 30 na muda wa kuunganisha safari wakati mwingine unakuwa siku nzima ila wanakupeleka hotelini kwa gharama zao.

Kuhusu kukupeleka hotelini kwa gharama zao si kweli,ni kwa baadhi ya nchi maana kuna vijana walikuwa wanatoka Tanzania wanaenda nchi moja ya Ulaya,waliambiwa hawawezi kupelekwa hotelini kutokana na pasi zao,walibeba wote wenye pasi zinazotambulika kama wanachama wa EU waliobaki walilala uwanjani,na haijatokea siku nyingi ni Dec 2010.
 
Hawa Qatar airlines wako juu bei nimeangalia kwenye Kayak search ni heri usafiri na KLM ama Emirates. Labda kama kuna mtu ameamua kuwapigia Promo. Nauli tokea London - Dar es Salaam


  • £ 530- Qatar
  • £ 513 -KLM
  • £ 462 - Emirates
  • £ 500 - Ethiopia Airlines
  • £ 520 - BA
 
Hawa Qatar airlines wako juu bei nimeangalia kwenye Kayak search ni heri usafiri na KLM ama Emirates. Labda kama kuna mtu ameamua kuwapigia Promo. Nauli tokea London - Dar es Salaam


  • £ 530- Qatar
  • £ 513 -KLM
  • £ 462 - Emirates
  • £ 500 - Ethiopia Airlines
  • £ 520 - BA

nakuunga mkono kuna mtu anawapigia Promo humu kwanza wabovu vibaya mno
 
Kuhusu kukupeleka hotelini kwa gharama zao si kweli,ni kwa baadhi ya nchi maana kuna vijana walikuwa wanatoka Tanzania wanaenda nchi moja ya Ulaya,waliambiwa hawawezi kupelekwa hotelini kutokana na pasi zao,walibeba wote wenye pasi zinazotambulika kama wanachama wa EU waliobaki walilala uwanjani,na haijatokea siku nyingi ni Dec 2010.

Shosti trust me ni kweli. Hii habari si ya kuambiwa na mtu mwingine bali mimi mwenyewe nimesafiri nao na walinipeleka hotelini nikaa siku moja fullboard.
 
Sio siri mi hii ndege hata bure siitaki kwanza nasikia ukitoka Europe ndege unayopanda sasa ngoma ukifika DOha utajuuuta tena wabovu balaa kuna rafiki angu alisafiri yani vyoo havifanyi kazi agrrr
 
Shosti trust me ni kweli. Hii habari si ya kuambiwa na mtu mwingine bali mimi mwenyewe nimesafiri nao na walinipeleka hotelini nikaa siku moja fullboard.

Unapassport ya nchi ipi? Bila shaka si ya bongo
 
Shosti trust me ni kweli. Hii habari si ya kuambiwa na mtu mwingine bali mimi mwenyewe nimesafiri nao na walinipeleka hotelini nikaa siku moja fullboard.

inategemea unamiliki pasi ya nchi gani,sijakataa kuwa hawakupeleki hotelini ila sio wote ukiwa na pasi ya kibongo utalala kwenye mabao ya airport mpendwa siongei tu kumaliza hewa humu nakijua nnachokisema, sasa hawa wapiga promo humu wawaeleze na watu hili:coffee:
 
na mimi nilipanda 2008 kutoka KIA kuja DAR one way kwa 160,000 mpaka nilishangaaa mtu unatumia dakika tu ndani ya nchi yako lazini gharama lukuki, mbona nchi za wenzetu gharama za flight esp domestic ni cheap sana?
Naona Precision walikuwa wanatubia kweli, yaani huwezi amini mwaka 2009 nimesafiri DAR-MZA-DAR kwa Tshs 380,000.
 
mimi ndio mwisho huwa ninapanda wahabeshi najuwa ni masikini silalamiki mzigo ushindwe wewe
Haya mashirika ya warabu nimechoka nilifika huko kwao nikawekwa uwanjani mpaka siku ya pili walio na pasi za juu ndio wamekwenda hoteli sie wabongo kama watatu tulibaki tulisema sana hakuna hata mtu wa kukuangalia wana jeuri
tunauliza hivi sisi tuna kosa gani kweli tulikuwa hatuna visa ya nchi yao lakini tuna vitambulisho vyote vya huko juu kosa ni pasi
Ethiopia unajuwa unakwenda shamba hakuna tabu hata bei siku hizi sina shida nao ni kupiga simu tu wananipa bei nzuri na siti nzuri
 
Kabisa kaka,

Hawa Waarabu wanajitahidi kumanage shirika..huduma BOMBA na nauli cheapest..Saa ivi nikitaka kwenda kokote naangalia kama QR inafika..lol

Weye kama mimi popote pale ninapotaka kusafiri ni lazima kwanza niwaangalie kama hawa jamaa QR kama wanafika huko na kama wanafika basi ni lazima nisafiri nao na si shirika lingine lolote lile duniani.

 
Ukitaka kujua mziki wa kuzidisha uzito hata kidogo tu panda KLM
Ndugu utakuwa na balaa yaani hadi uzidishe Kilo 46 (Two pieces each 23Kg) bado hand luggage yako, Unataka kuhamisa TZ yote kupeleka wapi? Nadhani KLM wanatoa kiwango cha mzigo ambacho ni fair kabisa!!! Ila kwa huduma nyingine ndege nyingi za makampuni ya kizungu sio nzuri ukweli ndo huo sio BA, KLM, Air France, Lufthansa, mention all!!
 
Unapassport ya nchi ipi? Bila shaka si ya bongo

inategemea unamiliki pasi ya nchi gani,sijakataa kuwa hawakupeleki hotelini ila sio wote ukiwa na pasi ya kibongo utalala kwenye mabao ya airport mpendwa siongei tu kumaliza hewa humu nakijua nnachokisema, sasa hawa wapiga promo humu wawaeleze na watu hili:coffee:

Homeboy na dada Shosti passport yangu ni ya Tanzania iliyotolewa mwaka 2005 na inaisha mwaka 2015. Hakikisha tu una visa ya kutoka nje na kulikuwa na majadiliano ya kuondoa visa kati ya Tanzania na Uturuki na utaratibu huo ulitegemewa kuanza kutumika mwanzoni mwa mwaka huu sijajua umefikia hatua gani. Ukishashuka pale Istanbul, baada ya kupita uhamiaji, unaenda moja kwa moja kwenye Turkish Air Hotel desk ambapo unawaonyesha tiketi yako, wanasubiri watu wakishakuwa wengi wanawachukua kwa shato wanawapeleka hotelini.
 
Homeboy na dada Shosti passport yangu ni ya Tanzania iliyotolewa mwaka 2005 na inaisha mwaka 2015. Hakikisha tu una visa ya kutoka nje na kulikuwa na majadiliano ya kuondoa visa kati ya Tanzania na Uturuki na utaratibu huo ulitegemewa kuanza kutumika mwanzoni mwa mwaka huu sijajua umefikia hatua gani. Ukishashuka pale Istanbul, baada ya kupita uhamiaji, unaenda moja kwa moja kwenye Turkish Air Hotel desk ambapo unawaonyesha tiketi yako, wanasubiri watu wakishakuwa wengi wanawachukua kwa shato wanawapeleka hotelini.

Sawa Homeboy! Ila mimi ni Emirate, KLM, BA ama Swissair maana hizo zinatoa pombe mingi sana mwisho wa safari nakuwa very satisfied. Egytair naambiwa wao ni juicy tu!
 
unajua safari ndefu....it all comes down to onboard service, esp mvinyo...na CHOO bomba...lol
 
Homeboy na dada Shosti passport yangu ni ya Tanzania iliyotolewa mwaka 2005 na inaisha mwaka 2015. Hakikisha tu una visa ya kutoka nje na kulikuwa na majadiliano ya kuondoa visa kati ya Tanzania na Uturuki na utaratibu huo ulitegemewa kuanza kutumika mwanzoni mwa mwaka huu sijajua umefikia hatua gani. Ukishashuka pale Istanbul, baada ya kupita uhamiaji, unaenda moja kwa moja kwenye Turkish Air Hotel desk ambapo unawaonyesha tiketi yako, wanasubiri watu wakishakuwa wengi wanawachukua kwa shato wanawapeleka hotelini.
labda kama wameanza February hii,ila Dec ndiko nilikojua ni washenzi kiasi gani!
 
Jamaa zetu wa ATCL wana lolote la kujifunza hapo? Hivi wapo au ndio wamekwisha kufa?

Mimi naona Tanzania mambo ya msingi kama kuendesha ATCL n.k. yametushinda lakini tunahitaji kujirudi na kufikiri! Hakuna wa kufikiri juu yetu bali sisi wenyewe.
 
Back
Top Bottom