EvJ
Senior Member
- May 3, 2011
- 194
- 25
<br />yes ni huyu mwimbaji, mimi naweza kuprove hili nikiitajika
<br />
prove
<br />yes ni huyu mwimbaji, mimi naweza kuprove hili nikiitajika
Jana nimeibiwa laptop, power window, head rest, redio na mkoba uliokuwa na makabrasha na nyaraka mbalimbali nilipokuwa Mlimani City mida ya usiku. Walinzi wa Mlimani City wanasema kuwa wao hawahusiki na ulinzi wa magari. Basi kwenye kudadisi kwangu mlinzi mmoja akaniambia wanaovunja vioo na kuiba vitu kwenye magari hapo Mlimani City ni kundi la Q Chief.
Nikaenda kutoa taarifa kituo cha Polisi Mwenge ambako nilipewa Rb. Polisi nao wakaniambia kuwa hilo kundi ni la Q Chief.
Polisi wakanielekeza niende mitaa ya gerezani huko ntaweza kupata vifaa vya gari yangu.
Sasa natokea gerezani, nimepata vitu vyangu na kuhusu laptop wameniambia niende Azam kuna bwana anaitwa Salehe nimuone.
Cha kushangaza ni hiki, Polisi wanajua kuwa Q Chief ni mwizi na anamtandao wake, kwa nini hawamkamati na kumfungulia mashtaka?
Kweli jeshi letu la Polisi linanuka rushwa.
hahahhha yaani niliwaza hivyohivyo....maana bora hata angekuwa mgumu kama Kala Pina,na kile kisauti labda rafikiye kamsifia kuzuri huko!!!sasa jinsi alivyo laini akienda jela yule si atarudi mke wa mtu????????
hajihurumii?
hahahhha yaani niliwaza hivyohivyo....maana bora hata angekuwa mgumu kama Kala Pina,na kile kisauti labda rafikiye kamsifia kuzuri huko!!!
uongo wote ule alomsingizia babake...unadhani kuna usalama kwa hilo,mtoto akililia wembe mpe bwana mwache akawaimbie manyapara mpaka walale kama nyapara alazwa kwa wimbo!!!unajua hii midomo ya watu hii sio mizuri...
nahisi kuna laana inamtafuta huyu mtoto
angekuwa na akili angeogopa sana..
.............Afu pia kwanini hukufanya kama PCCB wanavyofanyaga unaenda kuwakamatisha? Kwanza ulienda bila kuwa makini ungeweza hata kupata matatizo huko gerezani utakuwa ulikuwa unauliza uliza sana wangeweza hata kukudhuru!
Mlimani City tuwasusie kama wanaweka guards kama geresha sasa hii ni nini let us boycot going there?
Q chief huyu huyu msanii au mwingine? hata hivyo Polisi na majambazi lao moja..wanampaka namba za simu za wezi..kama hayajakukuta unaweza usiamini.
mbona yuko tu mtaani na bado anapakatwa na chief kiumbe? Akienda segerea na kurudi kitaa, hakika atafungua duka samora avenue ili awapangishe wanaume mstarisasa jinsi alivyo laini akienda jela yule si atarudi mke wa mtu????????
hajihurumii?
. Wenzake wenyewe ndio hao wahuni wenzake'Ninachokipata nagawana na wenzangu' Q-Chief.