Puts 10-11, puts 12-13, puts 14-15, puts 20, jionee kama hujuwi hii kitu.

Cassava

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
282
36
Habari wadau, katika kufukuzia kazi, kuna viwango hivi vya mishahara Ambavyo vinaitwa PUTS na namba zake kama zilivyo kwenye tittle. Hivi maana ya Hiyo PUTS ni nini? na kwa viwango hivyo na namba zake wanadaka shilingi ngapi? manake mi naona sifa ninazo za nafasi mojawapo lakini viwango hivyo vya mishahara sivijuwi. Mwenye kujua tafadhali tusaidiane. Kabla sijaenda kwa interview nisije nikachemka au nipige chini kama ni kiasi cha mboga.
 
Habari wadau, katika kufukuzia kazi, kuna viwango hivi vya mishahara Ambavyo vinaitwa PUTS na namba zake kama zilivyo kwenye tittle. Hivi maana ya Hiyo PUTS ni nini? na kwa viwango hivyo na namba zake wanadaka shilingi ngapi? manake mi naona sifa ninazo za nafasi mojawapo lakini viwango hivyo vya mishahara sivijuwi. Mwenye kujua tafadhali tusaidiane. Kabla sijaenda kwa interview nisije nikachemka au nipige chini kama ni kiasi cha mboga.

Hiyo heading mbona haifanani na content?
 
PUTS ni scale za mishahara kwa walimu wa vyuo vikuu. Nimeiona ikitumika Open University na UDOM. Sasa wadau toka maeneo hayo tafadhali hebu msaidieni huyu ndugu!
 
Wana JF PUTS stands for Public Universities Teaching Scale. Hii ni kwa vyuo vikuu vya uma vyote na sio kwa OUT na UDOM tuu. Kitu ambacho huwa wangi wanachanganya. Hata hivyo mishahara hiyo si lazima akawa sa vyuo vya private. Kwa hiyo ili kujua ni mshahara kiasi gani kwa PUTS 10-11 au PUTS 12 -13 ni lazima kukutana na Mafisa Utumishi wa Vyuo Vikuu ambao wanakuwa na hizo nyaraka na classification yake ni nyaraka za siri.
 
Wana JF PUTS stands for Public Universities Teaching Scale. Hii ni kwa vyuo vikuu vya uma vyote na sio kwa OUT na UDOM tuu. Kitu ambacho huwa wangi wanachanganya. Hata hivyo mishahara hiyo si lazima akawa sa vyuo vya private. Kwa hiyo ili kujua ni mshahara kiasi gani kwa PUTS 10-11 au PUTS 12 -13 ni lazima kukutana na Mafisa Utumishi wa Vyuo Vikuu ambao wanakuwa na hizo nyaraka na classification yake ni nyaraka za siri.

We " kapilime" Wacha ulongo, siri gani? mbona mshahara wa mwalimu wa shule ya msingi au secondari unajulikana, au mshahara wa mbunge si unajulikana? Kama hujuwi si lazima kuchangia. Hata hivyo nakushukuru kwa kirefu CHA PUTS.
 
Habari wadau, katika kufukuzia kazi, kuna viwango hivi vya mishahara Ambavyo vinaitwa PUTS na namba zake kama zilivyo kwenye tittle. Hivi maana ya Hiyo PUTS ni nini? na kwa viwango hivyo na namba zake wanadaka shilingi ngapi? manake mi naona sifa ninazo za nafasi mojawapo lakini viwango hivyo vya mishahara sivijuwi. Mwenye kujua tafadhali tusaidiane. Kabla sijaenda kwa interview nisije nikachemka au nipige chini kama ni kiasi cha mboga.
<br />
<br />
puts kwa sasa imeanza 1 mpaka 10. Ngazi utayoanza nayo itategemea elimu yako yaani TA PUTS 1, ASSISTANT LECTURER PUTS 2/3 LECTURER PUTS 4/5. Ukitaka kujua kiwango cha kila ngazi waone wahusika.
 
We " kapilime" Wacha ulongo, siri gani? mbona mshahara wa mwalimu wa shule ya msingi au secondari unajulikana, au mshahara wa mbunge si unajulikana? Kama hujuwi si lazima kuchangia. Hata hivyo nakushukuru kwa kirefu CHA PUTS.

Cassava you have quoted me wrongly, sijasema mshahara ni siri bali nimesema classification ya hizo documents ni mojawapo ya nyaraka za siri. Hivyo usiri haupo katika figure ila document yenyewe ndo haiwezi kuwekwa public. Huwezi kujua mishahara ya walimu kwa kuwa kila mwalimu ana mshara wake kwa mujibu wa grade na notch aliyopo (Incremental Points). Sasa kama kuna mtu atasema anajua basi aliona figure moja tu na aka generalize kitu ambacho si cha kweli. This is professionalism and I know what I am saying Cassava.
 
Cassava you have quoted me wrongly, sijasema mshahara ni siri bali nimesema classification ya hizo documents ni mojawapo ya nyaraka za siri. Hivyo usiri haupo katika figure ila document yenyewe ndo haiwezi kuwekwa public. Huwezi kujua mishahara ya walimu kwa kuwa kila mwalimu ana mshara wake kwa mujibu wa grade na notch aliyopo (Incremental Points). Sasa kama kuna mtu atasema anajua basi aliona figure moja tu na aka generalize kitu ambacho si cha kweli. This is professionalism and I know what I am saying Cassava.
Mkuu hata mimi niliwahi sema hapa kwamba hizo documents zimekuwa classified kama confidential watu wankaleta ubishi usiokuwa na msingi eti mshahara sio siri. Kwa taarifa tu ni kosa kutangaza hadharani mshahara wa mtu. Kwamba mshahara wa Mwalimu unajuikana nayo sio sahihi kwa sababu kila mtu ana kiwango chake cha mshahara kulinga na umri kazini (seniority in service), Ukubwa wa cheo (seniority in rank), elimu, na Madaraka aliyo nayo.
 
We " kapilime" Wacha ulongo, siri gani? mbona mshahara wa mwalimu wa shule ya msingi au secondari unajulikana, au mshahara wa mbunge si unajulikana? Kama hujuwi si lazima kuchangia. Hata hivyo nakushukuru kwa kirefu CHA PUTS.
casava una mmaind mshikaji bure tu.....kirefu cha puts ni sawa. mimi napiga mzigo chuo. kila PUTS ina range ya mshahara, mfano PUTS 12-13 ni kwa tutorial assistant na inaanzia 853,500/=TZS, na kuna mpaka PUTS 21 za senior professor. so kukumbuka exact amount ni kazi labda ungesema utafutiwe........ si vema kulaumu, tujifunze wadau.
 
casava una mmaind mshikaji bure tu.....kirefu cha puts ni sawa. mimi napiga mzigo chuo. kila PUTS ina range ya mshahara, mfano PUTS 12-13 ni kwa tutorial assistant na inaanzia 853,500/=TZS, na kuna mpaka PUTS 21 za senior professor. so kukumbuka exact amount ni kazi labda ungesema utafutiwe........ si vema kulaumu, tujifunze wadau.
Lol Mkuu wangu umeniangusha sana rafiki yangu. Hiyo 853,500/= ni ya mwaka 2009/2010 na wewe unaridhika tu kulipwa mshahara wa Zilipendwa wakati kuanzia July 2010 watu wapo kwenye 1.08m na kuendelea na juzi kwa nyongeza mpya wanaelekea kwenye 1.1 M. Pole Mkuu. Hivi naomba kujifunza kuna ngazi inaitwa "Senior Professor"?
 
Habari wadau, katika kufukuzia kazi, kuna viwango hivi vya mishahara Ambavyo vinaitwa PUTS na namba zake kama zilivyo kwenye tittle. Hivi maana ya Hiyo PUTS ni nini? na kwa viwango hivyo na namba zake wanadaka shilingi ngapi? manake mi naona sifa ninazo za nafasi mojawapo lakini viwango hivyo vya mishahara sivijuwi. Mwenye kujua tafadhali tusaidiane. Kabla sijaenda kwa interview nisije nikachemka au nipige chini kama ni kiasi cha mboga.
Mkuu PUTS 12 ni 1,080,100, PUTS 13 NI 1,348,070 na PUTS 14 ni 1, 701,010 na kuendelea. Hiyo ni kabla ya mabadiliko ya July 2011
 
Mkuu PUTS 12 ni 1,080,100, PUTS 13 NI 1,348,070 na PUTS 14 ni 1, 701,010 na kuendelea. Hiyo ni kabla ya mabadiliko ya July 2011

kaka Gerard nakushukuru sana, wengine walikuwa wanajikanyaga kanyaga tu, oooh! mshahara ni siri, maraooh! kila mtu anajua increment yake!!!!! mi sijauliza increment nimeuliza kianzio kwa hizo PUTS. Mshahara haiwezi kuwa siri kwa kuwa kila taasisi kuna wafanyakazi ambao wanajua viwango vyao na wanajuwana. Ukitaja mshahara wa cheo fulani unakuwa hujavujisha siri ya anayeupokea kwa kuwa hizo increment zinatofautisha mishahara hazihusiki na Kianzio. Hata hivo sioni sababu ya wafanyakazi mishahara yao kutowekwa wazi, Mnaogopa nini?, kama ni sheria ingetakiwa ifutwe.

Timu za ulaya wanavuta mishahara tofauti tofauti katika timu moja na wote mishara yao inajulikana. mfano messi, Christian Ronaldo, Etoo etc, MBONA SIYO SIRI????????????? Transparecy muhimu. wengine wanapata nafasi ya kuwaficha wake zao. kuweni huru.
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Lol Mkuu wangu umeniangusha sana rafiki yangu. Hiyo 853,500/= ni ya mwaka 2009/2010 na wewe unaridhika tu kulipwa mshahara wa Zilipendwa wakati kuanzia July 2010 watu wapo kwenye 1.08m na kuendelea na juzi kwa nyongeza mpya wanaelekea kwenye 1.1 M. Pole Mkuu. Hivi naomba kujifunza kuna ngazi inaitwa "Senior Professor"?

upo sawia, kwasasa naramba 1.08M gross. kikazi zaidi duh
 
duh.....kweli 2tafika huko.wakati MIKOPO wanazingua?HONGERENI MLIOFIKA HUKO
 
Back
Top Bottom