Wolle Melkas Fernando
JF-Expert Member
- May 4, 2016
- 218
- 297
Kushirikishana mitonyo siyo vibaya, kampuni ya simu ya Itel kwa kushirikiana na VodaCom, imeanzisha promosheni inayokwenda kwa jina la [HASHTAG]#SmartGulio[/HASHTAG] pale Mlimani City Dar es Salaam ambapo mtu anayenunua simu anapewa bando la intaneti GB10 kutumia mwezi wote na atapunguziwa bei ya simu kwa 30%. Hii inafanyika kila Wikendi yaani Jumamosi na Jumapili ndani ya mwezi mzima wa Oktoba 2016. Pia kuna zawadi ambazo ni maalum kwa mteja atakayenunua bidhaa za Itel.
Unaweza kuchukua link hii:
facebook.com/itelMobileTanzania
Unaweza kuchukua link hii:
facebook.com/itelMobileTanzania